Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Tukumbuke Zamani: Historia ya Taifa letu katika picha

Siku dola lilipoamua kuonyesha UBABE wake pale mwembechai

Image26.jpg



Image15.jpg
 
hivi tujiulize .......kama mkoloni kweli alikuwa na mabaya matupu kwa zanzibar na haku invest kwenye elimu

hawa viongozi, au watu wenye umri wa miaka 60 kule zanzibar walisoma wapi, lini, kwa pesa za nani?
ukiangalia zanzibar walosoma wengi ni watu weusi, au wenye damu ya kuchanganya.....jee hawa walisoma soma vipi?

na viwango vya elimu vya wakati ule na baada ya mapinduzi , vipi vilikuwa bora?

hospitali za wakati ule na za sasa zipi zilikuwa bora? ......na watu walilipa vipi?


naomba kuuliza kwa mwenye kujua kwa uhakika .......1964 zanzibar kulikuwa na watumwa??

Mkuu Gaijin,

Very strong point, maswali yako ni valid saafi sana, labda tusubiri majibu!
 
Sijui kama haya nayo bado yapo hapo Dar. Tulitamba nayo sana wakati wetu, na sidhani kama kweli Dar tuliwahi kuwa na usafri mzuri zaidi ya huu. je vijana wa leo mnayafahamu? tulikuwa tukiyaita kumbakumba

remonty_ikarus1.jpg

Huwa inatia uchungu sana kuona mambo yote mazuri tuliyokuwa nayo zamani sasa hivi ni historia. Taa za barabarani (street lights), mitaa iliyopangiliwa vizuri, barabara nzuri za mitaani, pale Chuo Kikuu Mlimani palikuwa kama peponi, wanafunzi walisoma kwa raha sana! Leo hii ukimwambia mwanafunzi wa UDSM kwamba pale Cafeteria kulikuwa na viji-fridge vinavyotoa maziwa 24/7 hatakuamini kabisa....kwani yeye hata maji ya kunywa sasa hivi ananunua!

Ila hayo mabasi yameniumiza roho sana! Ukiviona vipanya vya Dar vilivyojichokea hutaamini kama Dar pamewahi kuwa na usafiri mzuri kiasi hicho! Something must be wrong somewhere for sure!
 
Huwa inatia uchungu sana kuona mambo yote mazuri tuliyokuwa nayo zamani sasa hivi ni historia. Taa za barabarani (street lights), mitaa iliyopangiliwa vizuri, barabara nzuri za mitaani, pale Chuo Kikuu Mlimani palikuwa kama peponi, wanafunzi walisoma kwa raha sana! Leo hii ukimwambia mwanafunzi wa UDSM kwamba pale Cafeteria kulikuwa na viji-fridge vinavyotoa maziwa 24/7 hatakuamini kabisa....kwani yeye hata maji ya kunywa sasa hivi ananunua!

Mara yangu ya mwisho kwenda pale, ilikuwa wakati Msekwa ni boss pale longtime ago, lakini majuzi nilipta pale bro duh siku hizi unakuatna harufu mbaya sana, pole sana kwa walioko pale sasa!
 
ZANZIBAR, niliyokuwa naijua mimi,ni mambo ya sultani,mapinduzi,strongman karume,karafuu,birthplace ya fred mercury etc etc.hii forum imenifungua macho sana.kumbe zanzibar kulikuwa na reli,umeme,streetlighting na even space stations enzi hizo!! tukichukua law of averages na time span ya haya mambo,ZANZIBAR,ilitakiwa iwe HONG KONG ya africa.what exactly went wrong? je kulikuwa na capital flight to the arab world? au the opportunity cost ya kuwa na nyumba nzuri,television,raba mtoni etc etc ni education which was not invested in?
 
ZANZIBAR, niliyokuwa naijua mimi,ni mambo ya sultani,mapinduzi,strongman karume,karafuu,birthplace ya fred mercury etc etc.hii forum imenifungua macho sana.kumbe zanzibar kulikuwa na reli,umeme,streetlighting na even space stations enzi hizo!! tukichukua law of averages na time span ya haya mambo,ZANZIBAR,ilitakiwa iwe HONG KONG ya africa.what exactly went wrong? je kulikuwa na capital flight to the arab world? au the opportunity cost ya kuwa na nyumba nzuri,television,raba mtoni etc etc ni education which was not invested in?

...waliwapa vilaza kuongoza nchi yao na matokeo ndio haya unyoyaona sasa,umaskini kwa kwenda mbele na wasipobadilika watarudi 1800s!
 
Mkuu Heshima yako, kama una picha iweke hapa, kama huna basi unaweza kula historia na picha hapa, hatuna mashindano wala mandate kwenye hii thread na wala hatuna malumbano kwa sababu, tunajaribu ku-put together habari mbali mbali na kuzichambua na kumuachia mwananchi msomaji aamue mwenyewe ukweli na mapungufu ya habari, understanding kwamba wengi tulikuwa wadogo sana ki-umri na kama kawaida kwenye siasa hakuna permanent truth,

So far so good, binafsi niliyeanzisha huu mjadala nimeridhika na the goal ya kuanzisha hii thread, infact nimetumiwa ujumbe na viongozi wengi sana wa taifa wakiwa wamefurahishwa sana na hii thread kwa sababu ukweli mwingi umekuwa set straight, na hata wananchi wengi wamefurahishwa sana na hii historia na picha,

Mkuu GT, naomba tu ujiunge nasi katika kujaribu kuichambua historia yetu na picha zake, hapa hakuna mashindano wala ubingwa.

Ahsante Mkuu na Tunaendelea mbele.

StylinOnU.jpg
 
ZANZIBAR, niliyokuwa naijua mimi,ni mambo ya sultani,mapinduzi,strongman karume,karafuu,birthplace ya fred mercury etc etc.hii forum imenifungua macho sana.kumbe zanzibar kulikuwa na reli,umeme,streetlighting na even space stations enzi hizo!! tukichukua law of averages na time span ya haya mambo,ZANZIBAR,ilitakiwa iwe HONG KONG ya africa.what exactly went wrong? je kulikuwa na capital flight to the arab world? au the opportunity cost ya kuwa na nyumba nzuri,television,raba mtoni etc etc ni education which was not invested in?


Tatizo ni kuwa na viongozi wasokuwa na dira wala vision, matokeo yake ndio hayo kama yetu bara.
 
Hapo Marekani alikuwa keshaanza vitu vyake,haikupita mda Karume akamtimua.

About 15km east of Stone Town, near the village of Tunguu, lie the rusting remains of an American Satellite Tracking Station. This Station was built in 1960 to track and communicate with the first American manned Space Missions. It functioned first during the early 'Project Mercury' launches when Astronauts were just shot into space in a parabolic arc from Florida to the other side of Africa. It also lay along the "Earth track" of most of the later Orbital missions and thus was a vital part of the tracking and telemetry net that helped communicate with these space craft.

The station was forced to close just after the 1964 Revolution. The new revolutionary government claiming that the Telemetry towers would be used to direct missiles towards Zanzibar. The Station personnel were hurriedly evacuated while a US Navy Destroyer stood off Stone Town to ensure that the American technicians and their families were allowed to leave unmolested.
...Waasisi wa Mapinduzi nao walikuwa na 'darubini kali' miaka hiyo 😀

...wenzao dakika yeyote mpaka sasa wanatuchungulia kwa setelaiti na kutuona kama hivi...


attachment.php
 
About 15km east of Stone Town, near the village of Tunguu, lie the rusting remains of an American Satellite Tracking Station. This Station was built in 1960 to track and communicate with the first American manned Space Missions. It functioned first during the early 'Project Mercury' launches when Astronauts were just shot into space in a parabolic arc from Florida to the other side of Africa. It also lay along the "Earth track" of most of the later Orbital missions and thus was a vital part of the tracking and telemetry net that helped communicate with these space craft.

The station was forced to close just after the 1964 Revolution. The new revolutionary government claiming that the Telemetry towers would be used to direct missiles towards Zanzibar. The Station personnel were hurriedly evacuated while a US Navy Destroyer stood off Stone Town to ensure that the American technicians and their families were allowed to leave unmolested.

Duh! Hii babu kubwa yaani mbarikiwe wakuu, historia saaafi sana maana hata mimi hapa nilikuwa nimeachwa nyuma, yaani Zenji kuna wakati kulikuwa na space station! Baaaaabu kubwa!
 
...Waasisi wa Mapinduzi nao walikuwa na 'darubini kali' miaka hiyo 😀

...wenzao dakika yeyote mpaka sasa wanatuchungulia kwa setelaiti na kutuona kama hivi...

Na zaidi with Google earh unapata picha nzuri zaidi
attachment.php

attachment.php

attachment.php

attachment.php
 

Attachments

  • znz1.jpg
    znz1.jpg
    51.1 KB · Views: 253
  • znz2.jpg
    znz2.jpg
    52.5 KB · Views: 248
  • znz3.jpg
    znz3.jpg
    61.8 KB · Views: 251
  • znz4.JPG
    znz4.JPG
    45.9 KB · Views: 247
Zanzibar imewahi kutoa vichwa viwili safi navyo ni SAS na BABU vinginevyo ni viazi vitupu mtatake msitake huo ndo ukweli ingawa unauma.
 
Zanzibar imewahi kutoa vichwa viwili safi navyo ni SAS na BABU vinginevyo ni viazi vitupu mtatake msitake huo ndo ukweli ingawa unauma.
...afanaleik wallahi, bora FMES umeanzisha hii mada, tuangalie 'mseto' wa wanazuoni wa zamani mpaka siku hizi, ...au labda sijakuelewa, maana ya 'vichwa' lazima awe ni kiongozi wa serikali, au?...

Baadhi yao ni hawa;


attachment.php

Abdulrazak Gurnah was born in Zanzibar and is now best-known as a novelist. His fourth novel Paradise was short-listed for the Booker Prize in 1994. His latest novel is Desertion. His main academic interest is in postcolonial writing and in discourses associated with colonialism

attachment.php

Sheikh Abdullah Saleh Farsy, A 20th Century example of a very long line of Islamic Scholars from Zanzibar. His most famous contribution to Islam was the publication of his 807-page QUR'AN TAKATIFU (Glorious Qur'an),

Sheikh Abdullah was appointed the Inspector General of primary schools on Zanzibar and Pemba in 1949, the Headmaster of the Arabic medium School in 1957 and the Chief Kadhi of Zanzibar in 1960. He left the Isles after the revolution of 1964 and died in Oman on November 9, 1982.

attachment.php

Barghash Bin Said, The third Sultan of Zanzibar, he ruled from 1870 until 1888. His mother was a slave (who was freed upon his birth; many Zanzibar Sultans were sons of slave women). His father was the settler king and first Sultan of Zanzibar, Seyyid Said (Said bin Sultan). Barghash is credited with building much of the infrastructure of Stone Town, including piped water, public baths, a police force, roads, parks, hospitals and large administrative buildings such as the House of Wonders.

attachment.php

Shafii Adam Shafii, the Author. Hukupata kusoma kiswahili?, Kiswahili fasihi na Kiswahili sanifu? hujapata kisanifu kitabu cha KULI?

attachment.php

Professor Haroub Othman wa kitengo cha sheria Chuo kikuu Dar es Salaam?
 
...afanaleik wallahi, bora FMES umeanzisha hii mada, tuangalie 'mseto' wa wanazuoni wa zamani mpaka siku hizi, ...au labda sijakuelewa, maana ya 'vichwa' lazima awe ni kiongozi wa serikali, au?...

Mkuu Mchongoma,

Ahsante sana kwa mchango wako katika hii thread, ninasema hivi sisi hapa tunatafuta wa-Tanzania wote waliowahi kwa namna moja au nyingine, kuchangia historia yetu ya taifa kwa anything they did, kama ni siasa, michezo, accademic world, na anything in general,

We are not done, bado tunaendelea, picha tunazo na historia trunayo, binafsi I am humbled na this thread kwa sababu hata mimi sikutegemea kabisa kuwa bongo tulikuwa na yote niliyoyaona humu ndani, na hasa Zanzibar nimejifunza mengi niliyokuwa siyajui kuhusu visiwani,

Na kila siku ya Mungu ninapokea salaam nzito kutoka kwa wananchi mbali mbali kuhusiana na historia nzito kutoka members kwenye hii thread, Mkuu Mchongoma Demokrasia ni kuvumliana mawazo na sauti mbali mbali,

Again ninatoa heshima mbele sana kwa wote manoshiriki kwa michango mizito sana, na tuendelee kusonga mbele wakuu.
 
kwa haya tunayoonyeshwa ya zanzibar ,ndio maana hatushangai kuona watu wazima wengi kule wanaona mapinduzi yalikuwa miyeyusho tu. kwa sababu waliopindua hawakuwa wamejitayarisha kuongoza wala kuwa na vision, ......leo unakuta maji ya kunywa tabu.....nchi iliyokuwa na mifereji mijini miaka mia naa nyuma!
 
Back
Top Bottom