wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Na kubwa jingaz wa humu JF walipigwa vzr tu pale Jangid.Mliambiwa wazi;
1. Trade kile ulicho tayari kukipoteza
2. Forex sio kwa kila mtu.
Mlitegemea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kubwa jingaz wa humu JF walipigwa vzr tu pale Jangid.Mliambiwa wazi;
1. Trade kile ulicho tayari kukipoteza
2. Forex sio kwa kila mtu.
Mlitegemea nini?
Nionavyo ni ukurupukaji tu.
Ukikaa vizuri na kutumia akili unaweza survive
Mkuu ujinga ni mtaji hebu uheshimu ujinga😂😂😂Na kubwa jingaz wa humu JF walipigwa vzr tu pale Jangid.
[emoji1][emoji1][emoji1] nakubali mkuu.Mkuu ujinga ni mtaji hebu uheshimu ujinga[emoji23][emoji23][emoji23]
KAMWAGILIE MOYOMkuu haka ka faida kaleo siwezi kupata wine???View attachment 2278305
TULITEGEMEA MAFANIKIO YA CHAP CHAPMliambiwa wazi;
1. Trade kile ulicho tayari kukipoteza
2. Forex sio kwa kila mtu.
Mlitegemea nini?
Kwa ajili ya vipigo kama vyabwakoko sio🤔Ila Tanzania tutafika mbinguni tumechoka sana
Biblia imeandika wazi kwa maandiko ya Sulemani kuwoa mali ya haraka harajka hupita haraka piaTULITEGEMEA MAFANIKIO YA CHAP CHAP
ila kweli aiseeBiBlia imeandika wazi kwa maqndiko ya Sulemani kuwoa mali ya haraka harajka hupita haraka pia
Mayai ya Kwarw hadi sasa nauzaga mbona na nina wateja kama 25 hao ni permenent, Wazungu na Wahindi, kuna Chinise na wabongo kadhaa, Pia nazalisha nyama yake sema kipindi hiki tumesimamisha kwanzaKumekuwa na tabia ya ajabu ya biashara za aina flani kuibuka kibongo bongo na kuwa hyped ila ghafla zinakufa kibudu [emoji23]! Hebu tuzitambue na tuelewane shida hasa huwa nini mbona hazi prosper kama jinsi biashara za wenzetu huko duniani zinavyokwenda sawa.
Ntaanza na hizi chache...
1.Biashara ya kuuza sharubati halisi
Hii biashara miaka 4 nyuma ilihit sana soko ila kwa sasa kimya kingi. Sioni tena watu wakikimbizana kununua ma container na kuyaremba ili kuuza sharubati[emoji23] kina Mak Juice kunani huko?
2.Biashara ya kuuza ubuyu
Hii biashara ilivuma sana miaka ya 2015-2016 huku yule mzee wa kipemba wa kuitwa babu Issa akiwa superstar wa tunda hili adimu la kiangazi. Ilikuwa ni kawaida kukutana na vifungashio na vifurushi vya ubuyu kika kona hadi masaplaya wa maofisini Ila sikuhizi naona kimya kimetawala sana huko.[emoji23] Hebu tuelezane shida ilianzia wapi?
3.Ufugaji wa sungura na mayai ya kware
Hiki kitu kilikuwa gumzo nyakati za 2012-2014 na watu walifungana mota haswa kuwa soko ni la uhakika. Watu walivunja vibubu kujenga mabanda ya hawa viumbe hai wa Mungu ila matokeo yake ilibidi wawafanye vitoweo tu.[emoji23]
4.Biashara ya Pub
Hii biashara ilivuma sana kipindi flani na ilikuwa ni kama trend na fashion kwa watu maarufu hasa bongo movie kufungua ila naona upepo ulikata ghafla. Sidhani kama ishu ni gharama sababu walijipinda kweli kweli kufungua bizness zinazoonekana. Ila ni kama watu waliikatia tamaa hii business nikiwemo mimi. Hebu tujuzane changamoto zikoje humu[emoji23]
Mlonge ni Biashara mkuu, sema ni uvivu wa Watanzania kutafuta pesa ya haraka harakaKilimo cha Milonge pamoja na Nyonyo pia biashara ya Qnet
Sijawahi acha kuuza na nina wateja, ishu ni kwamba Watanzania ni watu wa kukurupuka ba kufuata mkombo basiSana. Unafuga kware lakini mwisho wa siku hujui mayai uyauze wapi?
Ni kweli shida inakuja watu hawatumii akili, tunafutana kama nyumbu tuHizi biashara zinazoibuka na kufa gafla bna zina faida zake pia, baadhi ya watu waliojiongeza hutajirikia hapohapo.
Biashara ulizo zitaja haoi zote mtu akijipanga anapiga pesa zote hizo.Kumekuwa na tabia ya ajabu ya biashara za aina flani kuibuka kibongo bongo na kuwa hyped ila ghafla zinakufa kibudu [emoji23]! Hebu tuzitambue na tuelewane shida hasa huwa nini mbona hazi prosper kama jinsi biashara za wenzetu huko duniani zinavyokwenda sawa.
Ntaanza na hizi chache...
1.Biashara ya kuuza sharubati halisi
Hii biashara miaka 4 nyuma ilihit sana soko ila kwa sasa kimya kingi. Sioni tena watu wakikimbizana kununua ma container na kuyaremba ili kuuza sharubati[emoji23] kina Mak Juice kunani huko?
2.Biashara ya kuuza ubuyu
Hii biashara ilivuma sana miaka ya 2015-2016 huku yule mzee wa kipemba wa kuitwa babu Issa akiwa superstar wa tunda hili adimu la kiangazi. Ilikuwa ni kawaida kukutana na vifungashio na vifurushi vya ubuyu kika kona hadi masaplaya wa maofisini Ila sikuhizi naona kimya kimetawala sana huko.[emoji23] Hebu tuelezane shida ilianzia wapi?
3.Ufugaji wa sungura na mayai ya kware
Hiki kitu kilikuwa gumzo nyakati za 2012-2014 na watu walifungana mota haswa kuwa soko ni la uhakika. Watu walivunja vibubu kujenga mabanda ya hawa viumbe hai wa Mungu ila matokeo yake ilibidi wawafanye vitoweo tu.[emoji23]
4.Biashara ya Pub
Hii biashara ilivuma sana kipindi flani na ilikuwa ni kama trend na fashion kwa watu maarufu hasa bongo movie kufungua ila naona upepo ulikata ghafla. Sidhani kama ishu ni gharama sababu walijipinda kweli kweli kufungua bizness zinazoonekana. Ila ni kama watu waliikatia tamaa hii business nikiwemo mimi. Hebu tujuzane changamoto zikoje humu[emoji23]
Nashindwa kuelewa watu wanavyo sema Forex ni utapeli wakati watu wana Trade Dunia nzima,Shida huwa tunataka mafanikio ya haraka haraka...
Kitu chochote ili ufanikiwe lazima ukipe muda,hata forex watu wanaiponda ila kuna watu imewapa na inaendelea kuwapa maisha.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Forex ni nzuri ,unauwezo wa kuwa tajiri ndani ya muda mfupi na pia inaweza kukulia pesa yako yote kama usipokua makiniShida huwa tunataka mafanikio ya haraka haraka...
Kitu chochote ili ufanikiwe lazima ukipe muda,hata forex watu wanaiponda ila kuna watu imewapa na inaendelea kuwapa maisha.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Uko sahihi hayo yanatake time na sio overnight processForex ni nzuri ,unauwezo wa kuwa tajiri ndani ya muda mfupi na pia inaweza kukulia pesa yako yote kama usipokua makini
Inahitaji utulivu mkubwa, broker nzuri na pia inampasa mtu aisome na kuifuatilia vizuri kabla ya kutrade