Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu haka kagemu ka boom & crash unamtumia broker gani?Mkuu haka ka faida kaleo siwezi kupata wine???View attachment 2278305
Shida inakuwa kukomoana sasa wabongo hatupendani unashangaa unaletea TRA kila siku fitina mkuuSasa ndugu aposto si na wenzio wanatakamo walambemo asali jamani😂
Mlonge ni biashara kubwa sana ila wabongo akili zimefungamana humu ndani. Kuna start up nimeiona kwenye forum moja ya Afrika ni watu wa Malawi wamenzisha biashara ya mlonge na wanauza njeMlonge ni Biashara mkuu, sema ni uvivu wa Watanzania kutafuta pesa ya haraka haraka
Deriv mkuu sijawahi kutumia broker mwingineMkuu haka kagemu ka boom & crash unamtumia broker gani?
inaitwa FOREX MkuuFOLEX,,,,, kuna kipindi kila kijana alikuwa anatrade ila saa hizi ipo kimya kimya sana
Sahihi mkuu unajua sisi watu wa bara tunashida kwenye matamshi ya 'r' na 'l'inaitwa FOREX Mkuu
Instant mkuu unaingia hotelini kabla hada hujashiba unazo kibunda mkononi...Huyu unaweza vuta mawe kwa Mpesa?
Yes dakika 5 hadi 10 unazo mkononi mkuuHuyu unaweza vuta mawe kwa Mpesa?
Kwenye kutamka sio kuandikaSahihi mkuu unajua sisi watu wa bara tunashida kwenye matamshi ya 'r' na 'l'
Hii inalipa kama utaweka miundo mbinu vizuri; wekeza pesa upate pesa4.Biashara ya Pub
Hii biashara ilivuma sana kipindi flani na ilikuwa ni kama trend na fashion kwa watu maarufu hasa bongo movie kufungua ila naona upepo ulikata ghafla. Sidhani kama ishu ni gharama sababu walijipinda kweli kweli kufungua bizness zinazoonekana. Ila ni kama watu waliikatia tamaa hii business nikiwemo mimi. Hebu tujuzane changamoto zikoje humu😂