fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Watachakaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila dr shika alivuma kama upepo wa kisulisuli kisha amepotea mazimaMia 9 itapendeza Dr. Shika
Usipokubali kuliwa na we huli. Jk
10mil ni hela mboga Tibaijuka
Hapa kazi tu Jpm
Ngunguri ngangari Lipumba
Mtaji wa maskini ni nguvu zake Mkapa
Wapigwe tu make hakuna namna Pinda
Amfifilo GwajBoy
Nk
Ni yeyeeUmesahau "Ni yeye..
mwana kulifind mwaa kuligetHabarini wana Jamii Forums Leo nimekuja na hoja kama ilivyo apo kwenye title.
Tunajua Tanzania kuna misemo mingi ilishawahi kutokea na hivi sasa kuna misemo ndio Inavuma 'WAJUMBE na USINIFOKEE'.
Toa msemo wako unaoukumbuka ulio wahi kutrend apa nchini
This is TanzaniaUsinitetemeshe
[emoji23][emoji23][emoji23] hii baada ya tetemeko la juzi kati
Tafadhali tunakuomba usitushirikishe."usinishirikishee"
Mpya huo
UsinitetemesheeeeeTafadhali tunakuomba usitushirikishe.