TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #61
always kunji likianzishwa alivuki Survey,maana wanaofia kuharibu shughuri za kibiashara katikati ya mji 😂😂😂2004/2005 tulianzishi kunji kupinga HESLB tukiongozwa na Bahati Tweve. Safari yetu ya kuelekea Ikulu kumwona Rais Mkapa kumweleza jambo letu iliishia UCLAS hatukufanikiwa kuvuka Survey...Tulipigwa na wazee wa ngunguri hatareeeee.
OdoooooooooooongWaanzilishi wa kunji David Silinde, Odong Oduar, Stephen Owawa.
Oduaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr 😀😀😀😀😀Odoooooooooooong
Bush bwana, akaongoza mgomo wa boom, chuo wakamuangaliaaa, alipomaliza tu wakamchukua wakamuweka pale utawala ashughulikie mikopo, sasa nenda pale sijui jina lako hujaliona boom blah blah blah, anakujibu shit mpaka unataka kuzimia! Huwezi amini km ndo yeye aliyekuwa anateswa na mkopo mpaka kuwa kiongozi wa migomo!
Halafu Hapo UD vyoo vichafu miaka yote ila vijana wanahitimu fresh tu. Aisee sisi tumezoeshwa shida.
**Nakumbuka Hall 5 unaenda msalani na gazeti la Mzalendo vinginevyo jiandae kutoka na nnya ya aliyekutangulia. Same to vyoo vya CoET hakuna pa afadhali. Aisee acheni tule Pombe tu tumesoma kwa kuunga-unga jamani
Dogo upo so arrogant kwa kaka zako!!mimi nimesoma UD ya VC ni Luhanga,CACO ni Mkunya na CADO ni Mkude,Rais ni Mkapa!!nadhani nahitaji Shikamoo yakoHili sio jukwaa la CBE ndugu. Pita hivi..
Yule alikuwa kitombi sana, alifungua shule yake inaitwa perfect vision basi ni kugongo vitoto kwakwenda mbeleNaye alikamatwa alipijaribu kula vitu vya kitivo akajua km Linguistic au story tu??😂😂😂
Vitoto vya juzi shida kweli, watu tumepita pale enzi hizo no boom msoc bureDogo upo so arrogant kwa kaka zako!!mimi nimesoma UD ya VC ni Luhanga,CACO ni Mkunya na CADO ni Mkude,Rais ni Mkapa!!nadhani nahitaji Shikamoo yako
Vitoto vya juzi shida kweli, watu tumepita pale enzi hizo no boom msoc bureDogo upo so arrogant kwa kaka zako!!mimi nimesoma UD ya VC ni Luhanga,CACO ni Mkunya na CADO ni Mkude,Rais ni Mkapa!!nadhani nahitaji Shikamoo yako
Jamaa sio mtz lakini almanusura awe rais DARUSO, Nilikuwa namuona kwenye tv tuOdong nae alikuwa na nyota mganda yule! Kipindi cha kunji kabla hatujatimuliwa ilikuwa usiku main campus mtu anapiga ile 'Odooooong' kutokea hall five, sauti zinajibu kutoka hall 2 , 'Odwaaaaaaaaa', hahahaaa, ilikuwa burudani sana. Wakaja kumpiga deportation ya saa 24 naskia, wakamrudisha kwao kwa Idd Amin, na sijui ana udugu nae, maana alikuwa copy right na Idd Amin 🤣🤣
Vya pale Law vilikuwa poa Sana.Kule hall 3 maji yakikata kulikuwa na choo cha shimo,mh! Humo unamkuta sister do anakata gogo live maana vingine havikuwa na milangoHalafu Hapo UD vyoo vichafu miaka yote ila vijana wanahitimu fresh tu. Aisee sisi tumezoeshwa shida.
**Nakumbuka Hall 5 unaenda msalani na gazeti la Mzalendo vinginevyo jiandae kutoka na nnya ya aliyekutangulia. Same to vyoo vya CoET hakuna pa afadhali. Aisee acheni tule Pombe tu tumesoma kwa kuunga-unga jamani
Wewe sawa na Mimi.Dogo upo so arrogant kwa kaka zako!!mimi nimesoma UD ya VC ni Luhanga,CACO ni Mkunya na CADO ni Mkude,Rais ni Mkapa!!nadhani nahitaji Shikamoo yako
Pale sisi tulikuwa hatuangalii uandishi ni intergral tu kila sehemu ,ndi maana sizingatii uandishi .A ya Mathematics na Physics ndio zilinipeleka pale kugonga miaka yangu minne kule bondeni Coet ,wala sio Kiswahili ambacho niliginga D O-level.
Watu wa Zoom College utawajua tu,mnapenda kushadadia nyuzi zisizo wahusu😂😂😂Wewe kweli ni feki wala usidanganye watu kuwa ulikuwa wa Physics and Mathematics maana hata neno ‘ integral’ limekushinda na kuandika ‘intergral’. Hakuna ‘inter..,’ bali kuna ‘inte...’!
Unajua JF sio FB kuna Wazee humu nashangaa umesoma UD wakati wa Mabibo Hostel alafu unawakoga wenzio eti enzi zetu
Dogo upo so arrogant kwa kaka zako!!mimi nimesoma UD ya VC ni Luhanga,CACO ni Mkunya na CADO ni Mkude,Rais ni Mkapa!!nadhani nahitaji Shikamoo yako