Tukumbushane maisha yalivyokuwa kabla ARV hazijaanza kutolewa

aiseee acha kabisa maticha walikatika sana nazan ni mambo ya kulana wao kwa wao. mdudu anazunguka umoumo
Teh teh tehee!!,ilikuwa ni hatari,mzunguko ulikuwa mkubwa,na hapo ndo ilijulikana baadae sana kwamba hata mzazi fulani kamla mwanae au ndugu wamekulana,huu ugonjwa uliibua siri nyingi sana,lkn pia wengine walipata maambukizi kwa kushear vitu vya ncha kali, hasa uko kagera watu walishear zile pini zakutolea wale funza miguuni,vidoleni,sindano za hospital nk,ilikuwa hatari usipime.
 
Mlikua mnazika wanachuo ?
 
Wagonjwa wengi kipindi hicho walikua na asila walkua ni watu wa kufokea kila mtu tena bila kumkosea wala unakua huja msemesha ila akiona una muangalia tu kosa ana kua mkali.
 
Wagonjwa wengi kipindi hicho walikua na asila walkua ni watu wa kufokea kila mtu tena bila kumkosea wala unakua huja msemesha ila akiona una muangalia tu kosa ana kua mkali.
hii ni kweli kabisa kiongozi ilikuwa ni risk sana kumtazama mtu mara mbilimbili
 
hii ni kweli kabisa kiongozi ilikuwa ni risk sana kumtazama mtu mara mbilimbili
Naam,alikua anaona kama vile unamchulia kifo,,usione sasa jamaa wanadunda tu,kuna jamaa namfahamu anatembeza bakora ile mbaya,anajivunia sana kiafya chake kimwonekano,atakuwa ana supply virus huyu,ila wengi wameshamjua.
Sijui akikosa ARvs itakuwaje!!!
 
Usiogoe vijana tupo salama mbinde kwa hawa wazazi wetu wanajidai waaminifu kumbe wanakula na kuliwa na vijana🀣🀣🀣

Baba zetu na mama zetu tunawape da sana...ila ukimwi utawapenda zaidi 🀣🀣🀣🀣🀣
umetishaaaaa
 
sasa izo ARVs zisitopishwe basi kama watu hawataki kuacha ngono wafe
 
sasa izo ARVs zisitopishwe basi kama watu hawataki kuacha ngono wafe
Kabisa nakuunga mkono, maana zinachochea maambukizi kuenea,wazungu waliona waafrika wanapenda sana ngono,wakaona watengeneze hivi dawa ili weusi waendelee kumalizana,ndicho walicholenga,,kiutaalamu na kwa akili za kuzaliwa ilitakiwa ku deal na chanzo(kushawishi na kuhimiza watu waache zinaa),sio kudeal na matokeo,,ambayo itakuwa too late.
 
Watoto wa 2000 hawajui mgonjwa wa ukimwi ambae yupo kitandani anakuaje
Kipindi ferooz ametoa heat song starehe..Kuna jirani mmoja KIJANA TU WAKATI huo aliukwa.

Jamaa huyu Alijiua sababu ya kuimbiwa huo wimbo kimzaha mzaha na vijana wa mtaani enzi izo.

Yaani mtu mwenye ukimwi akikohoa mlio karibu yake mnasogea kwa kuogopa.
 
hii ni hadithi ya kusisimua ya bwana Josefu wa nchini Haiti. Mwaka 2003 bwana huyu alipatikana katika hali ngumu sana akikabiliwa na magonjwa ya TB na HIV/AIDS.

Kwa bahati nzuri bwana huyu akapatiwa matibabu kiasi cha kuimarika afya yake na kumuondoa kwenye hatari dhidi ya uhai wake. Miaka kumi mbeleni (2013) taswira ya Josefu inaonesha ni mtu aliyejaa uso angavu wenye nuru na matumaini tele. huwezi hata kuthubutu kumdhania kuwa ni yule mgonjwa mahututi wa 2003. Josef alifariki 2015.
 
Halafu kuna mswahili akishashiba ugali na maharage, akashushia na kidugugu anakuja humu kusema kwamba ukimwi haupo ni utapeli tu!
 

Dah Umenikumbusha mbali sana, Mzee wa kikombe,
Walikuwa wanasema ameoneshwa meli kubwa ya raia wa kigeni wakienda kupata kikombe,
Watu walitiririka sana Loliondo.

Ila Babu aliwaweza watu πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Mchungaji Ambilikile Mwasapile RIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…