Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Dada macho yuko salama kabisa,kanuna hapa hata kunijibu " i love you too " hataki . . . Naumia mimi .Dada macho umemtupa wapi tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada macho yuko salama kabisa,kanuna hapa hata kunijibu " i love you too " hataki . . . Naumia mimi .Dada macho umemtupa wapi tena
Teh teh tehee!!,ilikuwa ni hatari,mzunguko ulikuwa mkubwa,na hapo ndo ilijulikana baadae sana kwamba hata mzazi fulani kamla mwanae au ndugu wamekulana,huu ugonjwa uliibua siri nyingi sana,lkn pia wengine walipata maambukizi kwa kushear vitu vya ncha kali, hasa uko kagera watu walishear zile pini zakutolea wale funza miguuni,vidoleni,sindano za hospital nk,ilikuwa hatari usipime.aiseee acha kabisa maticha walikatika sana nazan ni mambo ya kulana wao kwa wao. mdudu anazunguka umoumo
Mlikua mnazika wanachuo ?Watu walipukutika sana aisee. Mimi nilikuwa UDSM tukawa tunazika karibu kila baada ya siku mbili; pale Kinondoni makaburini kulikuwa na baa moja ya container wakatuzowea sana kwani baada ya mazishi wengi wetu tulikuwa tunapata moja baridi pale kabla ya kurudi zetu mlimani.
Wakati huo serikali ya Kenya ilitupatia Kemron lakini haikusaidia
Wagonjwa wengi kipindi hicho walikua na asila walkua ni watu wa kufokea kila mtu tena bila kumkosea wala unakua huja msemesha ila akiona una muangalia tu kosa ana kua mkali.kuna jamaa aliugua kwa muda mrefu sana. ilifikia wkt kila sehemu ya mwili ilikuwa imeisha amechonga mwili mzima umebaki mifupa kichwa kimekongoroka ila akawa bado yu mzima tu hafi. watu wengine wazima wanakufa yeye yupo tu.
miaka inakata yeye bado yupo! kuna wakati anaweza akaumwa sanaaa mkasema huyu kesho hataamka au wiki ijayo hafiki, lakini wapi kunakucha na mawiki na miezi na mwaka unakata jamaa yupo anadunda zake fresh tu.
alikaa kwenye hali iyo muda mrefu adi yeye mwenyewe akachoka maana maumivu yalikuwa ni makali sio ya apa kiasi hata yeye mwenyewe hafurahii tena uwepo wake apa duniani lakini ndo ivyo mungu anaendelea kumtunza. bdae sana alifariki lakini kwakweli palichimbika aisee yani acha kabisa
trueUkimwi wa Late 80s -90's ulikuwa balaa!! Noma ukivaa shati unakuwa kama limewekwa kwenye hanger.
hii ni kweli kabisa kiongozi ilikuwa ni risk sana kumtazama mtu mara mbilimbiliWagonjwa wengi kipindi hicho walikua na asila walkua ni watu wa kufokea kila mtu tena bila kumkosea wala unakua huja msemesha ila akiona una muangalia tu kosa ana kua mkali.
Naam,alikua anaona kama vile unamchulia kifo,,usione sasa jamaa wanadunda tu,kuna jamaa namfahamu anatembeza bakora ile mbaya,anajivunia sana kiafya chake kimwonekano,atakuwa ana supply virus huyu,ila wengi wameshamjua.hii ni kweli kabisa kiongozi ilikuwa ni risk sana kumtazama mtu mara mbilimbili
umetishaaaaaUsiogoe vijana tupo salama mbinde kwa hawa wazazi wetu wanajidai waaminifu kumbe wanakula na kuliwa na vijana🤣🤣🤣
Baba zetu na mama zetu tunawape da sana...ila ukimwi utawapenda zaidi 🤣🤣🤣🤣🤣
sasa izo ARVs zisitopishwe basi kama watu hawataki kuacha ngono wafeNaam,alikua anaona kama vile unamchulia kifo,,usione sasa jamaa wanadunda tu,kuna jamaa namfahamu anatembeza bakora ile mbaya,anajivunia sana kiafya chake kimwonekano,atakuwa ana supply virus huyu,ila wengi wameshamjua.
Sijui akikosa ARvs itakuwaje!!!
Kivipi baby girlumetishaaaaa
Kabisa nakuunga mkono, maana zinachochea maambukizi kuenea,wazungu waliona waafrika wanapenda sana ngono,wakaona watengeneze hivi dawa ili weusi waendelee kumalizana,ndicho walicholenga,,kiutaalamu na kwa akili za kuzaliwa ilitakiwa ku deal na chanzo(kushawishi na kuhimiza watu waache zinaa),sio kudeal na matokeo,,ambayo itakuwa too late.sasa izo ARVs zisitopishwe basi kama watu hawataki kuacha ngono wafe
Kipindi ferooz ametoa heat song starehe..Kuna jirani mmoja KIJANA TU WAKATI huo aliukwa.Watoto wa 2000 hawajui mgonjwa wa ukimwi ambae yupo kitandani anakuaje
baadhi ya watu humu hawawezi kuamini kama hizi habari zina ukweli. ni ajabu wengi badoUkimwi wa Late 80s -90's ulikuwa balaa!! Noma ukivaa shati unakuwa kama limewekwa kwenye hanger.
Kabisa , Gen Z hawajashuhudia live wagonjwa wa "NGOMA" wale wa zamani bila ARV.baadhi ya watu humu hawawezi kuamini kama hizi habari zina ukweli. ni ajabu wengi bado
wanaona ni kama hadithi za paukwa.
Kabisa , Gen Z hawajashuhudia live wagonjwa wa "NGOMA" wale wa zamani bila ARV.
hii ni hadithi ya kusisimua ya bwana Josefu wa nchini Haiti. Mwaka 2003 bwana huyu alipatikana katika hali ngumu sana akikabiliwa na magonjwa ya TB na HIV/AIDS.
Kwahiyo umefufuka bwashee 🥴🥴🫡🏃♂️🏃♂️aisee ni kisa ambacho sitosahau mpaka nafariki
haya mambo ya imani ni magumu kama jina lenyewe ''imani" lilivyo. kuna mwaka nazani 2009 alitokea tabibu uko loliondo kule umasaini akiitwa babu wa loliondo. uyu alidai kuwa na dawa inayotibu magonjwa 5 ikiwemo hiv.
akapata wateja wengi sana hata viongozi wengi wa serikali na wazungu walienda uko. watu wengine wengi kutoka nchi zingine wakaenda uko.
wale waliokuwa na wagonjwa kwenye haya mahospitali wakawatoa wagonjwa wao mahospitalini wakaenda nao uko. tena wagonjwa wengine wakisafiri wametundikwa drip zao za hospitali. lakini ndoivo tena bdae ikaonekana ile dawa haikuwa kitu na wale walioacha kabisa dawa walizopewa mahospitalini wengi walipotea.