Tukumbushane maisha yalivyokuwa kabla ARV hazijaanza kutolewa

Dah Umenikumbusha mbali sana, Mzee wa kikombe,
Walikuwa wanasema ameoneshwa meli kubwa ya raia wa kigeni wakienda kupata kikombe,
Watu walitiririka sana Loliondo.

Ila Babu aliwaweza watu πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Mchungaji Ambilikile Mwasapile RIP
True. ila huyu mzee alisaidia kufichua watz wengi walivo na hali tete ya kiafya maana kila mtu hadi viongozi wakubwa wa nchi walijazana kwenda kupata kikombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…