Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Watu wa bara kiswahili kwenu ni mtihani mnoKwahiyo umefufuka bwashee 🥴🥴🫡🏃♂️🏃♂️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa bara kiswahili kwenu ni mtihani mnoKwahiyo umefufuka bwashee 🥴🥴🫡🏃♂️🏃♂️
🤣Kwahiyo umefufuka bwashee 🥴🥴🫡🏃♂️🏃♂️
True. ila huyu mzee alisaidia kufichua watz wengi walivo na hali tete ya kiafya maana kila mtu hadi viongozi wakubwa wa nchi walijazana kwenda kupata kikombe.Dah Umenikumbusha mbali sana, Mzee wa kikombe,
Walikuwa wanasema ameoneshwa meli kubwa ya raia wa kigeni wakienda kupata kikombe,
Watu walitiririka sana Loliondo.
Ila Babu aliwaweza watu 🙌🙌🙌
Mchungaji Ambilikile Mwasapile RIP
Mbaazi zimesaidia sana kutoa matumaini kwa wagonjwa.
Haahaa hizo ni jeuri ya dawa. Huo ugonjwa sio mrahisi ivo.Halafu kuna mswahili akishashiba ugali na maharage, akashushia na kidugugu anakuja humu kusema kwamba ukimwi haupo ni utapeli tu!