Tukumbushane tu wasanii ambao game limeshawaacha ila wao kama bado hawajijui

Tukumbushane tu wasanii ambao game limeshawaacha ila wao kama bado hawajijui

Hapana unajua hao wote hawapati return kwenye huo mziki na ndo maana ya kupitwa na wakati licha ya ngoma zao kufanya good,wamebakiza fan base kubwa lakini mda umeisha ok.Ko mtoa maada naona yupo correct for my side
Hilo ndo tatizo mnafikiri muziki ni pesa tu hiyo list labda Dully na Ali kiba tu ila hao wengine bado wana kitu cha kuwapa mashabiki
 
Nasikitika iyo no.9 zile promo na ngoma iliyo toka sizani kama kai tendea aki promo yake



No 10. Akae lady jay dee.[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Nimependa namba 9 hasa ulivosema "nasikitika kumueka huyu kijana kwenye list hii"[emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Joh Makini amekua lofa kweli kweli,ana wimbo wake wakisenge senge unaitwa eti mchele kuna sehemu anaimba eti

'Tunawalisha ya kutosha ndo maana bado mnakunya'.

Pumbavuu.
 
Nilitegemea kukuta majina kama inspector Haroun, Mansu Li , Ferouz, TID, GK , ABDUL KIBA, TUNDAMAN , MAKAMUA etc badala yake umeweka list ya wasanii ambao bado wapo sana kwenye game... jealous or something??
Hao hawapo kabisa ktk mainstream...

They are no more.
 
Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha.

1. Fid Q
Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee.

2. Joh Makini
Samahani. Inauma lakini ndo ukweli.

3. Mwana FA
Kaka umebaki na fan base tu ambayo ni jina tu linakubeba. Concentrate katika biashara. I hope you are doing good there.

4. Dully Sykes
We nafikiri wala huitaji kukumbushwa. Umeshajitoa mwenyewe.

5. Ney Wa Mitego
Huyu bro hata Kiswahili hajui.

6. Nikki wa Pili
Nashukuru pia huyu kashasanda mwenyewe.

7. Prof. Jay
Mh. endelea na siasa tu. Muda ushakutupa.

8. Ali Kiba
Huyu naye nafikiri kashasoma alama za nyakati.

9. Konde Boy
Nasikitika kumuweka kijana huyu katika orodha hii.

Nitakuja na orodha ya wanawake baadae. Uzi huu ni kiroho safi tu. No beef no meat.

Povu ruksa. Unaruhusiwa kubadili orodha.
hakika wewe ni tako
 
usitulazimishe tushabikie wasanii wako wa kipuuzi... hii list mbona umepanga kama kuwaconvince watu wawapotezee hao wasanii unaodai kwamba wamechuja? Fid aache mziki halafu tumsikilize nani acha upuuzi bro
Unaruhusiwa kutoa maoni yako...
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Ila hiyo namba 9 amekwishahaidiwa ubunge wa Tandahimba kwa hiyo hata akiacha muziki hakuna atakachokikosa
 
Joh Makini amekua lofa kweli kweli,ana wimbo wake wakisenge senge unaitwa eti mchele kuna sehemu anaimba eti

'Tunawalisha ya kutosha ndo maana bado mnakunya'.

Pumbavuu.

Huyu na kundi lake kilichowagharimu ni ukanda... Naeza Sema ni wabinafsi sana.
Wana... 'Usisi'... 'Uarusha'...

Wamejipoteza Kwa ujinga wao.
 
Huyo wa mwisho yeye atakuwa next to Marlow......................... msinisumbue ndio hivyo wengine wote bado wako kwenye game sana tuu
Inasikitisha sana.
Kwamba ni next Mbunge..!??

Let us wait.
 
Back
Top Bottom