Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana.
Kwamba ni next Mbunge..!??
Let us wait.
Huyu na kundi lake kilichowagharimu ni ukanda... Naeza Sema ni wabinafsi sana.
Wana... 'Usisi'... 'Uarusha'...
Wamejipoteza Kwa ujinga wao.
Wanasema eti Kasema.. Hakuna Wa kumpinga Mkulu..
huyu Roma anayepiga show nchi nzima??Roma mkatoliki
Wanasema eti Kasema.. Hakuna Wa kumpinga Mkulu..
Asante kaka/dadaNilitegemea kukuta majina kama inspector Haroun, Mansu Li , Ferouz, TID, GK , ABDUL KIBA, TUNDAMAN , MAKAMUA etc badala yake umeweka list ya wasanii ambao bado wapo sana kwenye game... jealous or something??
[emoji23]hakika wewe ni tako
Mawazo yako pia yanaheshimika Mkuu..Hii list ni kama mtoa post anachokoza jambo ili kujua kitu
Aliowataja ndio pekee wamejitahidi kumaintain kwa muda mrefu na mpaka leo wanasumbua eti anasema wapumzike
Wakati watu kama kina Tundaman, Temba nk ndio walitakiwa waambiwe hayo
Anyway Mungu fundi kutuumba na mawazo tofauti wacha tubaki kuyaheshimu tu
Ulishaona wapi kapiga show yake, kama sio anategemea fiesta tu?huyu Roma anayepiga show nchi nzima??
alikuja kwako akakuomba pesa ya kulisha familia yake????Ulishaona wapi kapiga show yake, kama sio anategemea fiesta tu?
Sio vibaya hawa wakijipanga sehemu nyingine. Muziki ushawaacha.
1. Fid Q
Si vibaya ukapumzika. Maisha sio music pekee.
2. Joh Makini
Samahani. Inauma lakini ndo ukweli.
3. Mwana FA
Kaka umebaki na fan base tu ambayo ni jina tu linakubeba. Concentrate katika biashara. I hope you are doing good there.
Iyo list ....nilitegemea kumuona Queen darling ..naona unaz mwingi...tu hapo. Na jealous
4. Dully Sykes
We nafikiri wala huitaji kukumbushwa. Umeshajitoa mwenyewe.
5. Ney Wa Mitego
Huyu bro hata Kiswahili hajui.
6. Nikki wa Pili
Nashukuru pia huyu kashasanda mwenyewe.
7. Prof. Jay
Mh. endelea na siasa tu. Muda ushakutupa.
8. Ali Kiba
Huyu naye nafikiri kashasoma alama za nyakati.
9. Konde Boy
Nasikitika kumuweka kijana huyu katika orodha hii.
Nitakuja na orodha ya wanawake baadae. Uzi huu ni kiroho safi tu. No beef no meat.
Povu ruksa. Unaruhusiwa kubadili orodha.