Tukumbushane tukio la Ujambazi pale Ubungo Mataa mwaka 2006

Tukumbushane tukio la Ujambazi pale Ubungo Mataa mwaka 2006

Aisee umenikumbusha hii siku, na namkumbuka sana Marehemu Michael (R.I.P) nitaeleza kuhusu marehemu Michael hapo mbeleni.

Basi, ilikua siku za kawaida tuu, mwaka huu nilikua bado mwanafunzi maeneo ya Mjini kati. Kwaiyo nilikua na urafiki wa karibu na Marehemu Michael ambaye baadae alinitambulisha kwa Solomon.

Ilikua ni utaratibu kwamba Michael akitoka kwake anapita mitaa ya home saa 11 asubuhi anaita dogoooo... basi nachomoka tunatembea mpaka barabarani, kama siku ana gari basi anapiga honi chap natoka ( kumbuka 11 asubuhi ni giza totoro na tulikua tunakaa shamba kabisa).

Tukifik kituoni kama hatuna gari tunasubiri gari ya solomon hii gari yake kwanza ndani ni mziki wa congo mixer speed za hatari, yani light speeed.

Sasa siku ya tukio, Marehemu Michael hakuwepo, nikamsikilizia paleeee kimya, mpaka bimkubwa nae akamaliza kujianda ikabidi nisepe na bimkubwa mpaka kituoni.

Tunafika kituoni tuu, solomon huyu hapa. Kama kawaida light speed akasalimiana na bimkubwa maana Michael alikua kashamtambulisha kua ni dada yake na mm michael nilikua namuita uncle. Basi tukaingia safari ikaanza.

Katika story solomon akawa anamwambia dada "leo niende kucheki, moyo unaniuma" bimkubwa akamwambia kacheki ndugu yangu, lakini baadae tena akasema lakini hii siku ya leo sijui imekaaje!. Yani kama anaona wenge hivi. Hapa ndio mshana anakujaga na mazaga yake ya jicho la 3.

Siku hii ndio kamanda solomon alipambana na hao mafedhuli pale ubungo.

Namkumbuka sana, Marehemu na solomon kwasaidia Elimu yangu maana usafiri haikua shida na bado walikua wanachanga wananipa mzigo wa kutumia shule.

Nilikua don na clean, because of these two great people Solomon and Michael ( R.i.p)
 
Walihukumiwa kifungo Cha maisha lakini rufaa iliwatema wote!! Kulikua na raia wawili wa Kenya nliwahi kukutana nao Centra polisi dar es salama wakiwa wanafanyiwa utaratibu wa kurudishwa kwao
Kumbe walichomoka hawa jamaa walikua wanalidwa sana siku wakipelekwa mahakamani ni balaaa kuanzia mahabusu ulinzi ulikua mkali sana.
 
Miaka hiyo nafanya kazi dsm posta huko.

Ujambazi ulienea kila upande wa jiji.

Kwa simulizi ya baba aliyekuwa ndani ya daladala sekeseke lilipoanza abiria walilala chini.

Huyo baba alisema alipolala akaja mama mmoja kibonge akalala juu yake.

Alipoinuka alikuta amelowa mikojo mwili wote.

Was so bad. Sijui alikuwa nani President that time
 
Miaka hiyo nafanya kazi dsm posta huko.

Ujambazi ulienea kila upande wa jiji.

Kwa simulizi ya baba aliyekuwa ndani ya daladala sekeseke lilipoanza abiria walilala chini.

Huyo baba alisema alipolala akaja mama mmoja kibonge akalala juu yake.

Alipoinuka alikuta amelowa mikojo mwili wote.

Was so bad. Sijui alikuwa nani President that time
Ah ah ah
 
Kuweka rekodi sawa, trafiki alichukua silaha toka kwa mlinzi wa kituo cha mafuta na kuanza kupamabana na majambazi wale!

Angle aliyokuwepo iliwapa shida majambazi kuchukua fedha zote hivyo wakajijuta wanaiba kiasi kidogo cha fedha
Nakumbuka yule askari wa usalama barabarani aliyepewa ushujaa kwenye tukio lile, maana alikimbia hadi kituo cha polisi, akachukua silaha na akarudi kupambana nao
 
Kipindi kile DSM haikuwa ajabu kusikia matukio matatu mpaka manne kwa wiki halafu yote ya hatari lazima damu imwagike,mimi huwa nashangaa mtu anaposema ujambazi umerejea leo 2022 unajiuliza huyu ana umri gani?ilikuwepo miaka mtu kutembea na 500K mfukoni unakuwa hatarini.

Nakumbuka siku ilianzwa kwa majibizano makali ya risasi pale Kariakoo mtaa wa Swahili na Mafia ambapo polisi waliondoka na point zote tatu hiyo ilikuwa mapema tu saa 8:35 asubuhi,mchana majira ya saa saba mtaa wa Livingston na Mkunguni ule muda wa kwenda msikitini jamaa wakaingia sonara moja ilikuwa kubwa sana wakati ule wakauwa mlinzi mwarabu boss wakamvunja nyonga wakachukua vyao wakaondoka,huku mitaa ya Jangwani na Congo kwa wale wauza vipodozi likapigwa tukio kupishana kama dk 40 hivi alikuwaga bwashee kaambiwa akabidhi fuko la hela yeye macho yamemtoka jamaa wakaona anawachelewesha wakamchapa ya mbavu wakachukua fuko wakaondoka (huyu alipona) pale police Msimbazi siku hii pale counter askari walibaki wawili tu wote waliingia mtaani kipindi hiki RPC alikuwa Alfred Tibaigana nakumbuka kumuona ndani ya defender pale mtaa wa Msimbazi akiongoza kikosi.

Funga kazi ni hiyo ya Ubungo jamaa waliuwa stuff wa Nmb na askari,attacker wao alikuwa kijeba hivi amejazia amevaa kawoshi na bukta ana kipisi anamimina njugu kama ana-act movie halafu mweusii kichwani ana kipara kinang’aa!yupo jamaa yangu aling'ang'aniwa baada ya kuonekana pikipiki iliyoshiriki lile tukio imeingia nchini kwa jina lake alikaa jela miaka nane na matukio mengi kipindi kile wapigaji walikuwa wanashirikishwa na wabongo refer tukio la kupigwa bomu kwa ATM machine pale Temeke hospital jamaa walivyofanyiwa ambush na askari Chang'ombe waliuwawa sikumbuki idadi but mmoja wao alikuwa na id ya Rwanda.
Ahsante sana
 
Miaka hiyo nafanya kazi dsm posta huko.

Ujambazi ulienea kila upande wa jiji.

Kwa simulizi ya baba aliyekuwa ndani ya daladala sekeseke lilipoanza abiria walilala chini.

Huyo baba alisema alipolala akaja mama mmoja kibonge akalala juu yake.

Alipoinuka alikuta amelowa mikojo mwili wote.

Was so bad. Sijui alikuwa nani President that time
Jakaya Mrisho
 
Kipindi kile DSM haikuwa ajabu kusikia matukio matatu mpaka manne kwa wiki halafu yote ya hatari lazima damu imwagike,mimi huwa nashangaa mtu anaposema ujambazi umerejea leo 2022 unajiuliza huyu ana umri gani?ilikuwepo miaka mtu kutembea na 500K mfukoni unakuwa hatarini.

Nakumbuka siku ilianzwa kwa majibizano makali ya risasi pale Kariakoo mtaa wa Swahili na Mafia ambapo polisi waliondoka na point zote tatu hiyo ilikuwa mapema tu saa 8:35 asubuhi,mchana majira ya saa saba mtaa wa Livingston na Mkunguni ule muda wa kwenda msikitini jamaa wakaingia sonara moja ilikuwa kubwa sana wakati ule wakauwa mlinzi mwarabu boss wakamvunja nyonga wakachukua vyao wakaondoka,huku mitaa ya Jangwani na Congo kwa wale wauza vipodozi likapigwa tukio kupishana kama dk 40 hivi alikuwaga bwashee kaambiwa akabidhi fuko la hela yeye macho yamemtoka jamaa wakaona anawachelewesha wakamchapa ya mbavu wakachukua fuko wakaondoka (huyu alipona) pale police Msimbazi siku hii pale counter askari walibaki wawili tu wote waliingia mtaani kipindi hiki RPC alikuwa Alfred Tibaigana nakumbuka kumuona ndani ya defender pale mtaa wa Msimbazi akiongoza kikosi.

Funga kazi ni hiyo ya Ubungo jamaa waliuwa stuff wa Nmb na askari,attacker wao alikuwa kijeba hivi amejazia amevaa kawoshi na bukta ana kipisi anamimina njugu kama ana-act movie halafu mweusii kichwani ana kipara kinang’aa!yupo jamaa yangu aling'ang'aniwa baada ya kuonekana pikipiki iliyoshiriki lile tukio imeingia nchini kwa jina lake alikaa jela miaka nane na matukio mengi kipindi kile wapigaji walikuwa wanashirikishwa na wabongo refer tukio la kupigwa bomu kwa ATM machine pale Temeke hospital jamaa walivyofanyiwa ambush na askari Chang'ombe waliuwawa sikumbuki idadi but mmoja wao alikuwa na id ya Rwanda.
Sawa kabisa,hicho kijeba JB,kuna siku wakapiga tukio pale Sea Cliff kwenye bureau de change.

Huyo mzee wa kihindi mwanae akauliwa on the spot, Yule kijana alikua karudi toka masomoni UK. Akauliwa pale ndio alikua na fuko la pesa. Wametoka bank na babaake

Yule mzee sikuwai kumuona tena pale ofisini.baada ya tukio, Kaka wa huyo kijana alikua nae Mafia fulani. Aka take -over aliwapata wote,kuna siku Sinza huko kijeba na wenzie walienda kupiga mahali akawalia timming. wakachabangwa kunde wote huyo kijeba akiwemo.

Ndo ikawa mwisho na huyo muhindi alitoroka kabisa akahama nchi.
 
Aisee umenikumbusha hii siku, na namkumbuka sana Marehemu Michael (R.I.P) nitaeleza kuhusu marehemu Michael hapo mbeleni.

Basi, ilikua siku za kawaida tuu, mwaka huu nilikua bado mwanafunzi maeneo ya Mjini kati. Kwaiyo nilikua na urafiki wa karibu na Marehemu Michael ambaye baadae alinitambulisha kwa Solomon.

Ilikua ni utaratibu kwamba Michael akitoka kwake anapita mitaa ya home saa 11 asubuhi anaita dogoooo... basi nachomoka tunatembea mpaka barabarani, kama siku ana gari basi anapiga honi chap natoka ( kumbuka 11 asubuhi ni giza totoro na tulikua tunakaa shamba kabisa).

Tukifik kituoni kama hatuna gari tunasubiri gari ya solomon hii gari yake kwanza ndani ni mziki wa congo mixer speed za hatari, yani light speeed.

Sasa siku ya tukio, Marehemu Michael hakuwepo, nikamsikilizia paleeee kimya, mpaka bimkubwa nae akamaliza kujianda ikabidi nisepe na bimkubwa mpaka kituoni.

Tunafika kituoni tuu, solomon huyu hapa. Kama kawaida light speed akasalimiana na bimkubwa maana Michael alikua kashamtambulisha kua ni dada yake na mm michael nilikua namuita uncle. Basi tukaingia safari ikaanza.

Katika story solomon akawa anamwambia dada "leo niende kucheki, moyo unaniuma" bimkubwa akamwambia kacheki ndugu yangu, lakini baadae tena akasema lakini hii siku ya leo sijui imekaaje!. Yani kama anaona wenge hivi. Hapa ndio mshana anakujaga na mazaga yake ya jicho la 3.

Siku hii ndio kamanda solomon alipambana na hao mafedhuli pale ubungo.

Namkumbuka sana, Marehemu na solomon kwasaidia Elimu yangu maana usafiri haikua shida na bado walikua wanachanga wananipa mzigo wa kutumia shule.

Nilikua don na clean, because of these two great people Solomon and Michael ( R.i.p)
Unajua aliko Solomon sasa hivi?
 
Back
Top Bottom