Tukumbushane tukio la Ujambazi pale Ubungo Mataa mwaka 2006

Naomba link ya huo Uzi wa mwaka huo, maana wengine tulikuwa shamba miaka hiyo
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Kama movie vile aisee
 
Mwangamilo is his surname.
Jina hili linaanza kunikumbusha issue ya Laura Nkunda na Major General Mwakibolwa wa JWTZ alipokuwa pamoja na majeshi ya UN kule Congo. Jamaa aliibuka siku moja kwenye media akasema huyu Nkunda tutamshughulikia vizuri tu na wala hakuna shida yoyote.

Kuna watu wanaojiamini kwenye haya mambo, yaani ni professional perce
 
Lakini Magufur aliwaweza wote majambaz
 
Matukio yote hayo ya ukatili alifanya Magufuri
 
Hakuwa mwanajeshi na walimkamata mtu ambae anafanana sana huyo jambazi ambae tuna undugu nae. Amekaa ndani miaka kumi na tano mpka alipokuja kupatika huyu jambazi ambae alikua kikosi cha jeshi Zanzibar.
 
Hakuwa mwanajeshi na walimkamata mtu ambae anafanana sana huyo jambazi ambae tuna undugu nae. Amekaa ndani miaka kumi na tano mpka alipokuja kupatika huyu jambazi ambae alikua kikosi cha jeshi Zanzibar.
Haja sue kwa false imprisonment mkuu apige hela

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…