Sawa..Nipe nyonyo basi ninyonye[emoji38] [emoji38] kama we wa 95 yaani we mwanangu wa kumzaa kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] akili yako inakutosha mwenyewe weweSawa..Nipe nyonyo basi ninyonye
Mkuu hakuna website ambapo naweza kupata audio za hizi mambo.. Please mkuu fanya kutupia link hapa.. Ntakushukuru sana..!
Au Mkubwa wa JIKODawa ya jiko.
Dah.. Umenikuna sana.... Nitwangie kwenye tritel 08116425231[emoji12] [emoji12]Tulianza kuona deodorant za Fa madukani na mafuta ya Vaseline. Kabla ya hapo tulitumia mafuta ya Asher's yalitengenezwa Tanga
Mkuu mbona hivi ndiyo tunavyopiga menu KwamtogoleAu Mkubwa wa JIKO
Daaaaah,zamani.
Zama hizo ujue mnakula kwenye sahani moja hakuna viplates.
View attachment 533454
Unanikumbusha sabuni za fa tulikuwa tunazinunua ujiji zikitokea burundiTulianza kuona deodorant za Fa madukani na mafuta ya Vaseline. Kabla ya hapo tulitumia mafuta ya Asher's yalitengenezwa Tanga
Kama ulikuwepo na sabuni ya fa ilikuwa kwa ajili ya kujipakaa kama mafuta unapomaliza kuoga si ya kuogea!Mlinunua na Colgate kutoka Burundi?
Seriously????Mkuu mbona hivi ndiyo tunavyopiga menu Kwamtogole