[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] ninyi watu!..Channel 10 kulikuwa na movie ya Mr T na Knight Rider (maarufu kama maiko, maiko - jamaa ana gari lake hilo lina fujo balaa) pia kulikuwana igizo la kutisha lilikuwa linaitwa Mmsai na Ng'ombe Wake
ITV kwanza picha linaanza matangazo yanafunguliwa saa 12 jioni hadi saa 6 usiku, walikuwa na vichekeaho vya Perfect Strangers pia kulikuwana movie ya TimeTrack, Pointman na kipindi cha Jackpot Bingoooo!!!
Dah kulikuwaga raha sana.
Tausi ndege wangu niliupenda sana wale waliigiza vizuriTausiii ndege wanguu!!ndege wangu wa fahari!
Nakumbuka siti binti Kasri alivyokuja dar kwao pale kwa manjunji M/mala watu tulivunja ukuta kwenda kumshangaa...!!
Asante mleta Uzi!
The Passion,the bold and the beautfulTamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow
bongoooo snowballllllllChannel 10 kulikuwa na movie ya Mr T na Knight Rider (maarufu kama maiko, maiko - jamaa ana gari lake hilo lina fujo balaa) pia kulikuwana igizo la kutisha lilikuwa linaitwa Mmsai na Ng'ombe Wake
ITV kwanza picha linaanza matangazo yanafunguliwa saa 12 jioni hadi saa 6 usiku, walikuwa na vichekeaho vya Perfect Strangers pia kulikuwana movie ya TimeTrack, Pointman na kipindi cha Jackpot Bingoooo!!!
Dah kulikuwaga raha sana.
nimeipata ile movie kk itafte inaitwa Visitors (V franchise)Hii movie bana ilikuwa na ma character ambao wananyofoka ngozi ikivutwa tuu inatoka yotee then damu ya mwilini nilikuwa yakijani tuu. Aidha walipenda kuvaa nguo rangi nyekundu na kusafiri kwenda angani kwa mtambo kama sahani hivi. That's V
Jina la uigizaj "Steve"Jamaa alikua anaitwa nani mkuu
Hahaha mkuu hatutaki kizazi chetu kumbukumbu zake zipotee hivihivi. Hii ni hazina tofauti na miaka ya 90's mkuu. Mimi wa 80's ktkt humo hatuwezi kusahau uhondo wetu[emoji23] [emoji23] Utawajua tu Wakongwe ktk ubora wao... Watu adimu wako mbioni kutoweka... Hii ni hazina kubwa mkuu kuwa na watu kama ninyi for reference.... Tisha sanaa.
Kwa mbaali hiyo kitu nadhani ilikuwa inaonyeshwa jmosi mchana kabla ya fukoto/radi kwenye 1999, dizain hizo pipo wengine walikuwa na ngozi kama ya chui hivi.. enzi ya marehemu Nasma khamis kidogo na mtu mzima hovyo on fireee!..
Yes we jamaa unakumbukumbu sn enzi za fukutoo nimekumbuka zaidiiKwa mbaali hiyo kitu nadhani ilikuwa inaonyeshwa jmosi mchana kabla ya fukoto/radi kwenye 1999, dizain hizo pipo wengine walikuwa na ngozi kama ya chui hivi.. enzi ya marehemu Nasma khamis kidogo na mtu mzima hovyo on fireee!..
Ilikuwa inaitwa PopoyeKatuni ya kimba
Katuni ya spinach daah ili sio jina lake ningefahamu jina lake ingekua poa sana
Yeees kabisa mkuu umemikumbusha Channel 10 movie ya Mr T na Knight Rider big up mkuuChannel 10 kulikuwa na movie ya Mr T na Knight Rider (maarufu kama maiko, maiko - jamaa ana gari lake hilo lina fujo balaa) pia kulikuwana igizo la kutisha lilikuwa linaitwa Mmsai na Ng'ombe Wake
ITV kwanza picha linaanza matangazo yanafunguliwa saa 12 jioni hadi saa 6 usiku, walikuwa na vichekeaho vya Perfect Strangers pia kulikuwana movie ya TimeTrack, Beast Master, Pointman na kipindi cha Jackpot Bingoooo!!!
Dah kulikuwaga raha sana.
Kumbe ndivyo inavyoitwa? Hauna hata picha yao tuikumbushie kidogo
sana yani...me nlikua chalii sanaEddie Sultani
Huyu yule dada kama kivuliMwenye picha angalau ya Time Trax atuwekee hapa wadau