Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Nakumbuka ITV kulikuwa na tangazo ka CHAI BORA kilele cha ubora, pia kulikuwa na tangazo la bia ya ndovu ,simba alikuwa anatanu mdomo huku ana unguruma akisema "kunywa NDOVU kilele cha ubora"
 
Hi
hii naikumbuka kuna alien mmoja ana para hivi...
 
Mambo ya enzi zetu hayoo tukiwa vijana wadogo, kweli tunazeeka
"Hata babu alikuwa kijana na Bibi alikuwa binti"
 
Kaka Channel 10 ni ya juzi tu..labda una maanisha DTV
 
Anaitwa Enica
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…