Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahaaaaaaa afu kuna cartoon tukiita brek sagambaDuuuuh mkuu big up sana ndio maana napenda watu mlio fasta kama wewe yani kizazi cha 95's hawajui hii movie hongera sn
Wote mmesahau kipindi cha jamaa mmoja sijui dj yule bonge sana kinaitwa vibe
Azam... wana channel 2 za tamthiliya tu. Nina TV na Romanza Africa.... utachoka mwenyeweJaman mimi ni mpenz wa tamthilia sana je ninunue kingamuz gan ambacho naweza pata tamthilia bandika bandua kama ilivochanel za michezo? Msaada plz
Huyu jamaa namkumbuka kwa jina la Michael, hiyo gari hatari,inasuka mipango na kutoa ushauli kama MTU dahaa vyakale dhahabu kweli nimekua inabidi nioe
Namkumbuka huyo black kwa jina la Mr tee hahahLugendo hii nilikuwa movie gani mkuu
Sana tu mkuu,alikua na pikipiki yake hatarii,na jamaa Fulani mchina hivi alikua muoga kishenzinaikumbuka tamthiliya ya Lorenzo Lamas.... kulikuwa na mkono mwingi sana
Kuna kipindi itv walikua wanaonesha series ya kisayansi (sci fi) inaitwa EARTH FINAL CONFLICT ya aliens wanaoitwa taelons aka companions walikuja duniani wakiwa na teknolojia ya hali ya juu katika nishati, usafiri na utibabu. Walitoa bure huduma hizo kwa nia safi, ila kukawa na upinzani wa dhidi yao ukihoji hasa nia ya hao taelons kwa dunia.
Ilikua series nzuri, ya kufikirisha bahati mbaya itv waliikatisha kabla ya kufikia mwisho....
Wasioikumbuka nii hii hapo
Kaka Channel 10 ni ya juzi tu..labda una maanisha DTVChannel 10 kulikuwa na movie ya Mr T na Knight Rider (maarufu kama maiko, maiko - jamaa ana gari lake hilo lina fujo balaa) pia kulikuwana igizo la kutisha lilikuwa linaitwa Mmsai na Ng'ombe Wake
ITV kwanza picha linaanza matangazo yanafunguliwa saa 12 jioni hadi saa 6 usiku, walikuwa na vichekesho vya Perfect Strangers, Hang in with Mr. Cooper pia kulikuwana movie ya TimeTrax, Beast Master, Pointman na kipindi cha Jackpot Bingoooo!!!
Dah kulikuwaga raha sana.
Yule jamaa alikuwa mhindi mwekunduSana tu mkuu,alikua na pikipiki yake hatarii,na jamaa Fulani mchina hivi alikua muoga kishenzi
The crow umenikumbusha mbali that time...baba ameshanunua TV tukaacha kwenda kuangalia ITV orofea Iringa mkini uhindini barabara ya sogezamwendoTamthilia ya The passion, nmemkumbuka timmy, bibi mchawi tabitha, kay, miguel, simone
Pia The crow
Ah ah nakumbuka Susan Mongi yupo wapi jamaniiiCTN kipindi cha Muziki Rahma Aziz na Nick Ngonyani
Habari ITV Susan Mongi
Mmh sema mlikuwa hamna TV homeMimi nishasahau aiseee
Anaitwa EnicaNani anakumbuka matamasha ya CORA africa toka bondeni aisee yalikua yananoga.
Nakumbuka kwa Mara ya kwanza Tanzania tuliwakilishwa na msanii flani wa kike matata na kibao chake cha "ngoma inogilee ngoma imekolea ngoma ya pwani tatata mdundikooo"
Nimemsahau ila alikuaga US na alishaokoka na kuacha secular.
Yap nilichanganya ni DTVKaka Channel 10 ni ya juzi tu..labda una maanisha DTV
Ni mkurugenzi wa TBC1 tv/radio nowAh ah nakumbuka Susan Mongi yupo wapi jamaniii