Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Vipindi vya music nilikuwa navutiwa navyo. Enzi za Cool James, Kwanza Unit, Diplomats. Nje walikuwepo The New Radicals, Everton Blender, Los Del Rio na C+C Music Factory, "one hit wonders" kama Mr. Vain, Boom shack a lack, Tom's diner, Scatman na nyingine nyingi tu . Kipindi kile nilikuwa na ndoto ya kuja kuwa msanii pia.
Tanzania ilionyesha kuwa inakwenda na mda pia. Atleast ngoma za Sikinde na za aina hiyo tuliwaachia wazee, wajomba na shangazi zetu. Rap, RnB na reggae dancehall ziliwavutiwa vijana na watoto sana.
 
Lorenzo Lamas a.k.a Rino Renz na mpikipiki wake ilikuwaga ni Bonge moja la series
 
NWO, mieleka akina macho men, hulk hogan, undertaker, lex Luger, Kevin nash
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…