Swahili Ambassador
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 204
- 245
Alikuwa mtangazaji wa Kipindi cha Music pamoja na NgonyaniSijakusoma mkuu Rarp B ndio nani?
Mkuu umenifurahisha sana sasa ilikuwa muda gani wakati anawapeleka hukoNakumbuka wakati mzee anahamia Tabora mwaka 1999 Tv yetu ilikuwa inaonesha chenga tu hakukuwa na Itv kule sasa ikabidi tuwaulize wenyeji wa pale kuwa wanaangaliaga wapi Tausi? Kuna kijana mmoja akasema kesho twendeni niwapeleke,basi si akatupeleka Pale Game park kuangalia Tausi ndege na sio Tamthilia..!
Nilifanikiwa kukutana na mtanzania aliyeiandika hii tamthilia yeye saizi anafanya kazi Times radioTamthilia pendwa ya Tausi
Family matters....alikua anaitwa Steve jina la uigizaji.View attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Enzi hizo mzee kasri na huyo binti ilikuwa balaaTamthilia pendwa ya Tausi
Mmh mkuu inamaana hii tamthiliya ilitungwa na mtanzania?Nilifanikiwa kukutana na mtanzania aliyeiandika hii tamthilia yeye saizi anafanya kazi Times radio
Huyu jamaa sijui yupo wapi nowadays nimemkumbuka aiseeKuna jamaa flan DTV wa kuitwa Ruff "B" yuko wapi nw days ?
Ile ilikuwa ni movie sio comedy mkuuNilikuwa naipenda muvi moja ilikuwa inaoneshwa sana ITV ilikuwa ina mtu mkuuubwa kimaumbile na wengine wadooogo walimkama huyo Mkubwa na kumfunga mahala kwenye toroli na baadae aliachiwa ni comedy ila siikumbuki inaitwaje muda kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa mwaka 2000 nini? Au 2004 mkuuduh wengine hata kuzaliwa bado
Wana jamvi leo nimeona japo turevew miaka hii ya nyuma vipindi vya television enzi zile 1994 kuibukia miaka ya 2000...