Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hapa just for nostalgia.The Comish si kalikuwa kazee flan hivi ITV ilikuwa inaoneshwa
Mimi lile tangazo la revola lilikuwa linanikosha Sana[emoji3]Yale mapicha yalikuwaga motoo sanaa mkuu
Upo comrade ? Nikadhani watoto wa miaka ya 90 humu hatupoJoji poji na yule paka ilikuwa noma kwenye katuni kuna John bravo
Amekua mtu mzima sanaView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Aiseee umetisha sanaaa sasa nimeikumbuka vzr huyu mdingi ilikuwa inaoneshwa ITV enzi zilee thanks a lot mkuuHii hapa just for nostalgia.
Hatari sanaa Africa journal nilikuwa nakipenda Sana na ilivyokuwa inaaanza nilikuwa napenda sana na Kora AfricaPolice academy. Love thy neighbour.Africa journal (nchi yetuu).Olympic 1996 Atlanta Nigeria iliwika sana.Mataifa ya Africa Bafana bafana.Karate kid movie.Kora Africa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umezaliwa mwaka 2000 nini mkuu wengine wa kuanzia 80s to 90s hahhaahMbona mimi nimeangalia TV kuanzia enzi zile tv ziko mbili tu tvt na itv kuanzia the bold and the beautiful etc etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani huyo alikuwa mke wake?Amekua mtu mzima sana
Mayla alikufa pamoja na mother winslow
Saivi ile nyumba walioigizia bado ipoView attachment 844224View attachment 844225
Sent using Jamii Forums mobile app
Haikuwa bahati yako unakumbuka walikuwa washindi wanaitwa itv wakifika wanafunika kofia 12 halafu wanaanza kukuuliza useme ulichokumbuka kilichomo ndani ya kofiaJackpot bingo dah nilicheza Sana lakini wapi...