Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Tukumbushane vipindi vya ITV, CTN, na DTV 1994

Nakumbuka vipindi kama Mambo hayo na Maisha pale ITV na kwa upande wa Channel Ten kulikuwa kuna vipindi kama Nani ni nani na Muziki motomoto.
Pia dada yetu Maria Sarungi alikuwa na kipindi kinaitwa "Facets" na bila kumsahau Jenerali Ulimwengu na kipindi chake cha 'Jenerali on Monday'

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu icho kipindi cha nani ni nani alikuwepo gwiji mmoja Frank Mtao jamaa alikuwa makini sanaa

Baadae akaja Dativas mango akawa ana.simamia kipindi

Pale chanel.ten.pia kulikuwa na kipindi cha muziki na Buzz most wanted kilikuwa kinaruka jmosi alikuwepo.mdada mmoja white ivi alikuwa cute sanaa

Channel ten zaman ilikuwa ina watu makini sanaaa
 
Dah mkuu icho kipindi cha nani ni nani alikuwepo gwiji mmoja Frank Mtao jamaa alikuwa makini sanaa

Baadae akaja Dativas mango akawa ana.simamia kipindi

Pale chanel.ten.pia kulikuwa na kipindi cha muziki na Buzz kilikuwa kinaruka jmosi alikuwepo.mdada mmoja white ivi kama interracial flan alikuwa cute sanaa

Channel ten zaman ilikuwa ina watu makini sanaaa
Interracial 😁😁😁😁😁😁nimeikumbuka ile section pendwa.......
 
Ouyaaaa kuna hiyo show ilkuwaga inaruka RFA yakuitwa BOLLYWOOD FLASH.....[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ouyaaaa kuna hiyo show ilkuwaga inaruka RFA yakuitwa BOLLYWOOD FLASH.....[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kulikua na beat inapigwa huku mtangazaji akiwa anatusimulia nzuri Sana like tiii titi tilliiilii titi jaman tumekuwa snaa
 
Zaman raha Sana Kuna matangazo pia yalibamba Kama ya sigara SM"sigara maalum inayoburudisha kwa hali ya hamisi ya mtanzania iliyopendekezwa wewe vuta moja vuta Sweet menthol ni fresh ni poa ni yako hali halisi ya mtanzania ni fresh poa ni yaaako...Kuna la lotion ya Revlon Kuna lile na sabuni "omary ni sabuni gani unatumia kazi kujikuna tu ngwaraangwaraa ebu chukua hii peleka kule.....jaman lipo la sabuni ya kuogea mzee majuto anamshangaa mwanamke mpaka anatumbukia kwenye swimming pool.
 
Zaman raha Sana Kuna matangazo pia yalibamba Kama ya sigara SM"sigara maalum inayoburudisha kwa hali ya hamisi ya mtanzania iliyopendekezwa wewe vuta moja vuta Sweet menthol ni fresh ni poa ni yako hali halisi ya mtanzania ni fresh poa ni yaaako...Kuna la lotion ya Revlon Kuna lile na sabuni "omary ni sabuni gani unatumia kazi kujikuna tu ngwaraangwaraa ebu chukua hii peleka kule.....jaman lipo la sabuni ya kuogea mzee majuto anamshangaa mwanamke mpaka anatumbukia kwenye swimming pool.
Umetaja hayo matangazo nikakumbuka tangazo la Safari lager, "Safari ni safari, iwe mchana au usiku kiangazi au masika, Safari ni safari"
Jinsi kile kizibo kilivyokuwa kinasafiri kutoka kwa Masai, mara kwenye gari hadi kinafika mjini.
 
Zaman raha Sana Kuna matangazo pia yalibamba Kama ya sigara SM"sigara maalum inayoburudisha kwa hali ya hamisi ya mtanzania iliyopendekezwa wewe vuta moja vuta Sweet menthol ni fresh ni poa ni yako hali halisi ya mtanzania ni fresh poa ni yaaako...Kuna la lotion ya Revlon Kuna lile na sabuni "omary ni sabuni gani unatumia kazi kujikuna tu ngwaraangwaraa ebu chukua hii peleka kule.....jaman lipo la sabuni ya kuogea mzee majuto anamshangaa mwanamke mpaka anatumbukia kwenye swimming pool.

Kuna tangazo la beer ya tusker alofanyaga TID Lile tangazo ni zuri kuliko baadhi ya ngoma zake
 
DTV Majuto mzee small la mgambo la mgambo Enzi hzo kinondoni mm bado chalii kbsa makonda wa kariakoo mwenge wote walikuwa wananijua
Nani anakumbuka biafra kulikuwaga na bembea hapo michezo ya watoto ile
 
DTV Majuto mzee small la mgambo la mgambo Enzi hzo kinondoni mm bado chalii kbsa makonda wa kariakoo mwenge wote walikuwa wananijua
Nani anakumbuka biafra kulikuwaga na bembea hapo michezo ya watoto ile
Sisi watoto wa ilala eid ni mnazi mmoja na kidonge chekundu ule wakati sijui nisemaje.
 
Umetaja hayo matangazo nikakumbuka tangazo la Safari lager, "Safari ni safari, iwe mchana au usiku kiangazi au masika, Safari ni safari"
Jinsi kile kizibo kilivyokuwa kinasafiri kutoka kwa Masai, mara kwenye gari hadi kinafika mjini.
Dah! Matangazo ya break hayo kutoka igizo hili liingie jingine hapo ndio mtu unaenda chooni ukirudi unaliunga Kama ni jmamosi Basi linatoka igizo la Fukuto la kaole liingie la kidedea ya marehemu jengua patamu hapo.
 
Back
Top Bottom