Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zaman ilikuwa raha sanaSisi watoto wa ilala eid ni mnazi mmoja na kidonge chekundu ule wakati sijui nisemaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Zaman ilikuwa raha sanaSisi watoto wa ilala eid ni mnazi mmoja na kidonge chekundu ule wakati sijui nisemaje.
Alikuwa anaitwa Joan nadhani.Interracial 😁😁😁😁😁😁nimeikumbuka ile section pendwa.......
Family matters..sio 21 jump street22jump street daaaaa 1994 ndo nlimaliza std7
mkuu umepiga mule mule we had the same feeling da uzee unatunyemelea saiziZaman raha Sana Kuna matangazo pia yalibamba Kama ya sigara SM"sigara maalum inayoburudisha kwa hali ya hamisi ya mtanzania iliyopendekezwa wewe vuta moja vuta Sweet menthol ni fresh ni poa ni yako hali halisi ya mtanzania ni fresh poa ni yaaako...Kuna la lotion ya Revlon Kuna lile na sabuni "omary ni sabuni gani unatumia kazi kujikuna tu ngwaraangwaraa ebu chukua hii peleka kule.....jaman lipo la sabuni ya kuogea mzee majuto anamshangaa mwanamke mpaka anatumbukia kwenye swimming pool.
edi sultan saizi anafanyakazi benki NBCaunty neema na anko Eddy.
Nilikuwa sikosi kila jumamosi.
Nisipoingia studio ya tv naenda kwenye radio tunakaa kwenye majani.
edi sultan saizi anafanyakazi benki NBC
yuko humo humo ameoa na ana watoto anakaa makongo juuNa umri utakuwa umeenda Kama Mimi nina 32 na kipindi kile Mimi nilikuwa mdogo.yeye Sasa hivi atakukwaje
yuko humo humo ameoa na ana watoto anakaa makongo juu
Ni kweli ndugu yangu.mkuu umepiga mule mule we had the same feeling da uzee unatunyemelea saizi
Yule dada muhindi bonge anaitwa Mitchell fortado kama sijakoseaKifuatacho ITV, yule dada muhindi ndo alikuwa anasema kifuatacho ITV na kutoa muhtasari kidogo kama ni tamthilia, nakumbuka tamthilia ya Acapulco, na moja ilikuwa kali sana nimesahau jina ila ina neno beach!
Renegadenaikumbuka tamthiliya ya Lorenzo Lamas.... kulikuwa na mkono mwingi sana
Unamkumbuka RUFF"B" wa chanel 10 sijui sasa ivi yuko wapi?Dah mkuu icho kipindi cha nani ni nani alikuwepo gwiji mmoja Frank Mtao jamaa alikuwa makini sanaa
Baadae akaja Dativas mango akawa ana.simamia kipindi
Pale chanel.ten.pia kulikuwa na kipindi cha muziki na Buzz most wanted kilikuwa kinaruka jmosi alikuwepo.mdada mmoja white ivi alikuwa cute sanaa
Channel ten zaman ilikuwa ina watu makini sanaaa
Sio mchezoUnamkumbuka RUFF"B" wa chanel 10 sijui sasa ivi yuko wapi?
Atakuwa Nick Ngonyani huyoSio mchezo
Kuna mwana mmoja alikuwa Somebody Ngonyani .alikuwa Magic fm ..mwamba alikuwa poa pia