Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anaitwa Enika., naupenda sana wimbo wake wa baridi kama hii mzuri sana ule wimbo.Nani anakumbuka matamasha ya CORA africa toka bondeni aisee yalikua yananoga.
Nakumbuka kwa Mara ya kwanza Tanzania tuliwakilishwa na msanii flani wa kike matata na kibao chake cha "ngoma inogilee ngoma imekolea ngoma ya pwani tatata mdundikooo"
Nimemsahau ila alikuaga US na alishaokoka na kuacha secular.
[emoji122] yes sijui yuko wapi sa hivi yule jamaaSos B
Place of gold, kulikuwa na msichana mrembo hatari, wakiigiza ndio kanaanza kuwa kwenye mahusiano dah! na kazuri kweli kale.Egoli
Mkuu uko vizuri.Place of gold, kulikuwa na msichana mrembo hatari, wakiigiza ndio kanaanza kuwa kwenye mahusiano dah! na kazuri kweli kale.
Yeah, ndiyo huyu huyu unayemuona jamii forumsNi pasco huyu naemuona hukuu
Una maneno mkuu, umenifanya nicheke kweli ilikuwa ni matunda tu, ila kizazi cha sasa kinaweza kukuambia matunda ndio yamekopi majina ya simu, mwe utotoni raha jamani.Mkuu uko vizuri.
Miss those days when blackberry and iphone were still fruits.
Kizazi hiki cha kuanzia 95++ kina mambo sana hiki kinataka kukimbia kuliko muda wenyeweUna maneno mkuu, umenifanya nicheke kweli ilikuwa ni matunda tu, ila kizazi cha sasa kinaweza kukuambia matunda ndio yamekopi majina ya simu, mwe utotoni raha jamani.
Kweli kabisa na wanataka kuwa matajiri bila kufanya kazi.Kizazi hiki cha kuanzia 95++ kina mambo sana hiki kinataka kukimbia kuliko muda wenyewe
Ahsante kwa utambuz mkuu [emoji122] [emoji122] [emoji121]Yeah, ndiyo huyu huyu unayemuona jamii forums
What his father/mother achieved for 20-30 years he/she wants to achieve it in a year.Kweli kabisa na wanataka kuwa matajiri bila kufanya kazi.
Ilianza Egoli mwaka 1996 mwezi wa tano baadae mwaka 1996 mwezi wa kumi wakabadilsha wakanza kuonyesha Esidingo the need ambayo Saida Kalimanga mtangazaji wa ITV kipindi kile walienda south Africa kucheza ila sikubatika kuona kipande alichochezaKama 1995 hivi
alikuwa anaitwa steve...halafu alikuwa na alter ego flani hiv kiingia kwenye kikabati.family matters au kitu kama hichoView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
na ana mchizi wake wa nguvu anaitwa bobby ana zinga la hummer og yaaani sio hizi za sasaHii ndo star alikuwa anaitwa reno renz anapiki piki moja matata sana
stefano dimera ndio alikuwa the villain yaaani full mafuturistic goggles huyu mzee ni nuxJohn Black, Marlena Evans, Bo brad,Bill, Stefano Dimera,Jenifer, Victor Kiriakis,Hope,Austin,Christina Dimera,Sami Brady,Lucas nk...Haki ya nani ulikuwa hunitoi sebulani ikishaanza