Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
kuna kipande anamfundisha kucheza mziki wa monie luv unaitwa its a shame.Bila kusahau house party
Walikuwa wanaiwekaga CTN
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna kipande anamfundisha kucheza mziki wa monie luv unaitwa its a shame.Bila kusahau house party
Walikuwa wanaiwekaga CTN
![]()
Yupo BBC idhaa ya kiswahili kama sio DotcheveleAh ah nakumbuka Susan Mongi yupo wapi jamaniii
hilo tangazo la pili.....lipo la kwanza kabisa ........mrembo aliyetumika ni mzuri zaidi na nasikia alifariki ndio la pili likatengenezwa.Yeah na huyo mwanamke alikuwa anafanya mazoezi baadae ndio akaonekana kuelekea bafuni zuri sanaaa
Yeah CTN........aspen kingsize ni kwasababu unahitaji kilicho bora zaidi.Tangazo la sigara ya Aspen king size mnalikumbuka?
hiyo juzi hapa.....miaka ya 2010 bana.....jumong...naikumbuka xna hii tamthilia ikikuwa inarushwa ITV nilikuwa silali kabixa mpka nione nadhani walikuwa wanaonesha j4/j5 na alhmas..ta eso ..maro .jumong mwenyewe na ssuhinho daaaah dada alikuwa mzuri aiseee...nilimpendagaa
hiyo movie ya mtoto kunyakuliwa na majini na kuingizwa kwenye tv naikumbuka.....hadi wakaja wataalamu wakafunga mitambo.....walipata shida......walinunua nyumba ikiwa imekuwa haunted na majini......walipompata mtoto wao wakasepa na nyumba wakaitosa.Mkuu ile channel waliyokuwa wakijiunga mwanzo iliitwa TNT nimezicheki sana zile movie maana ilikuwa haman namna ila nikazizoea na nikawa nazipenda zaidi maana uongo kidogo story kidogo action kidogo hapo hapo unakuta movie ni black and white... kuna movie moja demu wa kizungu kipofu akanogewa kupiga story na jamaa garden like mnazi mmoja kipofu alipokuwa akipenda kupumzika akakutana na mtu wakaelewana mno siku ya siku ndugu za mzungu wakamuambia unaelewana na nigga nigga ni watu weusi na hatari sana lakini kipofu hakuweza amini..
Ila kuna movie ya kichaw mtoto anavutwa kwenye TV niliipenda mno Tawi la Mti linajikunja hadi dirishani si mchezo vitu vyote vya ndani ya nyumba vinanyenyuka na kuelea kama sayari dah inatisha
Simba bwana......weka ushihidi.....me ntaweka hata ela!Ni Kimba the white lion
mzee anapewa zawadi ya peni na mkewe ilifichwa katika bites.Kuna movie inaitwa The Comish.. Kweli umri unaenda
Yule mzee alipewa shavu kwenye series ya sasa ya GOTHAMKuna movie inaitwa The Comish.. Kweli umri unaenda
Sawa sawa.....ndio maana alikuwa anaonekana kama mkenya.....na watu walihisi ni mkenya......si alifariki nasikia?!Anaitwa Mariam Hassan Nusu Mbongo Nusu Msomali... Alikua anasisimua sana yule dada
sorry ni Becca.Jessy na Backer......daaah nilikuwa nampenda yule dada alivyokuwa ameanza kupendana na msikaji nikaanza kuona wivu.......aisee nilikuwa dogo lakini nilikuwa nahisia za mapenzi juu ya huyo dada Becker.
Simba bwana......weka ushihidi.....me ntaweka hata ela!
Samurai Jack,ilikuwa hataree aisee![]()
hawa mnawakumbuka? Zamani ilikuwaga raha sana ikifika saa kumi nishaoga nakaa naanza kuangalia cartoon ukitaka za yesu kipindi kama hiki unaweka trinity kama cjakosea jina ukitaka mchanganyiko unaweka Chanel ten ndo walikuaga wababe wa cartoons
![]()