Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Season 5 imetoka mwezi uliopita. Inaendelea ilipoishia. Jack kapoteza panga lake [emoji23]Dah katuni nilikuwa naipenda balaa hii.
Alikuwa anaitwa Steve Urkel kwenye kipindi cha family matters.View attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Family matterView attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Aisee nilikuwa nampenda sana Miriam Odemba kwenye lile tangazo la Revola, mwenye picha ya lile tangazo atusaidie miriam wetu jamani. Huko boarding watu walikuwa wakipia punyeto kwa kuliona hilo tangazo tu..
Enzi hizo husemi nimenunua tv bali unasema nimenunua ITV
Journey to the west. Shivooo!
Pia lile la salama condom nazan waliektia kigamboni kombe la dunia 94 liliwika sana, pia kuna kunta kinteHaha mtoa mada atakua analijua vizur,avatar name yak inajiidhiirisha
Tausiii ndege wanguu!!ndege wangu wa fahari!
Nakumbuka siti binti Kasri alivyokuja dar kwao pale kwa manjunji M/mala watu tulivunja ukuta kwenda kumshangaa...!!
Asante mleta Uzi!
alikua mtu mtz na kama sikosei alikua mtu wa tanga,nimesahau mwaka sahihi aliojinyonga huyu DadaKumbe Sitti Bint Kasri alikuwa mtanzania ? Nilikuwa nafikiria ni Mmombasa. Alifariki mwaka gani vile? nasikia it was a suicide
Du RIP ...I used to like her a lot kama sikosei jina lake alikuwa anaitwa Kibibi somebody.She was one of the most best actresses katika ukanda huualikua mtu mtz na kama sikosei alikua mtu wa tanga,nimesahau mwaka sahihi aliojinyonga huyu Dada
alikua ana ndugu zake pale mwanayamala