Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganya madesa mkuu. Martin hajawahi shiriki kwenye ucheshi wa fresh prince of the bell air, ameshiriki kwenye bad boysAliitwa Steve. Martin alikuwa na Will smith kwenye Fresh prince of ballair
Kama unalo weka tujikumbushie daaahTueleze siri ya mafanikio yako
Siyo siri ni Revora
Revora peke yake?
Ndiyo, kwani .... ni tulivu na uniweka fresh mchana kutwa.
Nakumbuka hili tangazo
Kaka hivi kwenye library yako umekosa kabisa kupata tangazo la levola?? Utuwekee hapa? Pls lisake tujikumbusheeCTN na channel ten saa kumi jioni,
Eddy sultan,nikimkuta anaendesha baiskeli Udsm.Dogo ana discpline sana.No, kabla ya lulu alikua Eddie....jamaa mmoja hiv mpole, ss hv yupo makongo juu,
Lulu wajuz tu huyo....
Tausiii ndege wanguu!!ndege wangu wa fahari!
Nakumbuka siti binti Kasri alivyokuja dar kwao pale kwa manjunji M/mala watu tulivunja ukuta kwenda kumshangaa...!!
Asante mleta Uzi!
View attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Nakumbuka ITV walipozindua tu wakaanza na World Cup 1994 USA. nilikuwa nakesha sitting room peke yangu hadi alfajiri, wakati huo nikiwa kidato cha nne.
Jamaa alikua anaitwa nani mkuu
Mfungua geti aliitwa mponda daah siku hazigandiKipindi hiki mzee akiwa mkuda aliitwa MZEE KASRI
Sun sent beach, LA revenge
Duh umenikumbusha mbali sana kijana. Walikuwa wanaweka picha za kihindi na kiarabu. Full watu kuchinjana na ndio movies za Kina kuchi kuchi khotae za kihindi. Umenikumbusha mtangazaji wa taarifa wa DTV alikuwa Ephraim kibonde. Na sitasahau yule Rainfred Masako alivyo tangaza ajali ya Mv. Bukoba.
Ivi huyu mzee Rainfred Masako yupo wapi alikuwa mtangazaji wa ITV.
Kuna mtangazaji mwingine alikuwa DTV alikuwa anaitwa Godfrey Mgodo
Aisee jpili unatoka church mapema kuwahi kuwaangali. Master, monkey, baggie. Shifo hahahaha zamani raha sana sikuhizi TV zetu hazina mvuto. Wakina bishanga Richie mzee upara bibi ambiliki yaani ilikuwa balaaView attachment 402172kuna hii pia...ilikua na jina lake ila nimelisahau...adi wahusika nilikua nimeweka majina ya kichwani enzi izo ila nimesahau yote [emoji2] [emoji2] [emoji2]