Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nataka video ya chai jaba kuna mtu alikuwa akitaniwa analia na kama anaangalia tv likitokea tangazo hilo analia kwa sbb watu wanashangilia .aaaah chai jaba eeh chai jabaaaaa!!habari nzuri kwa watanzaniaTangazo la chai jaba na lile la jambo lotion
Saivi huyo mtu yupo wapi?Mm nataka video ya chai jaba kuna mtu alikuwa akitaniwa analia na kama anaangalia tv likitokea tangazo hilo analia kwa sbb watu wanashangilia .aaaah chai jaba eeh chai jabaaaaa!!habari nzuri kwa watanzania
Yupo hapahapaSaivi huyo mtu yupo wapi?
Hanging with Mr. Cooper
View attachment 402157
Perfect strangers
View attachment 402158
Family Matters
View attachment 402159
Robocop
View attachment 402160
Dark Justice
View attachment 402161
Pointman
View attachment 402162
Kwa kipindi hicho local TV zetu zilikuwa na vipindi vizuri sana mtu hata hufikirii kutafuta channel za nje
Jina kamili anaitwa jareer white,,,kwenye tamthilia ya family matters aliitwa steve urkel,,View attachment 402149hivi mnamkumbuka jina huyu jamaa..? ...vichekesho vyake vilikua itv miaka hio sijui vilikua vinaitwaje
Wakivirudisha watapata watazamaji wengi,Yes ilirushwa ITV enzi hizo ilikuwa na vipindi hatariiView attachment 727968
Sana aisee,,CBS kwenye dstv wanairusha,,nakakubali sana,,hasa kakikutana na karl winslow dah,,hakuna tamthilia nzuri kama hiiKajamaa kalikuwa vizuri enzi hizoo