4. Yusuph pamoja na ugwadu wa kitambo kirefu lakini aligoma offer ya game kutoka kwa mke wa boss.
Hii ya nne mimi naikataa.
Yusuph alikua mkuu wa miladi ya boss wake, unafikir mtonyo wa kuzugia mademu ulikua ni shida kwake..???
Hata ningekua mimi ningemkataa mke wa boss, malaya wengi hivo.