Tukumbushane visa vya kwenye Biblia ambavyo ni funzo pia kwetu

Tukumbushane visa vya kwenye Biblia ambavyo ni funzo pia kwetu

KISA: MSAMARIA ALIYEMSAIDIA MAJERUHI.

FUNZO: TUWATENDENDEE WENGINE VILE SISI TUNGEPENDA KUTENDEWA BILA KUJALI SURA, RANGI AU HADHI YA MTU.
Tusichague kusaidiana kwa matabaka
 
KISA: Mtume (SAW) Kukubali Ombi na Kumuoa Bi. Khadija.

FUNZO: Ndoa ni Jambo Zuri Sana. Umri ni namba tu. MaSugarMummy ni Muhimu sana katika Jamii yetu. Vijana tuweke Aibu pembeni linapukuja suala la Sunna.
😂waache kuona aibu
 
KISA: Kahaba aliyesamehewa Dhambi.

FUNZO: Msamaha wa Dhambi upo kwa wote walio tayari kutubu Toba ya kweli. Haijalishi ni mara ngapi unaanguka bila kukusudia.
Na hakuna dhambi kubwa wala ndogo
 
VISA: MITUME, MASAHABA NA MANABII WOTE NA MAISHA YAO.

FUNZO: IBADA NI MUHIMU SANA HAIJALISHI WEWE NI NANI. NI LAZIMA KUMFANYIA MUNGU IBADA.
Ibada ni muhimu kwa kila MTU....Mungu aendelee kutukumbusha
 
Pale kaini alipomuua khabil (abeli) akaondoka akaenda kuzaliana
Hii inanifundisha kuwa mwanaume anaweza kuzaa bila kuwa na mwanamke.
Hapana bhana,alizaa na wanawake jaman
 
KISA: YESU kubadilisha Maji kuwa Divai harusini.

FUNZO: Kunywa Pombe sio tatizo, tatizo lipo kwenye kulewa na unapozidisha. Walokoke wekeni Pombe katika Shughuli zenu. Mnazingua mjue!!? Pombe ni Tiba. Pombe ni Muhimu katika Maisha ya Mwanadamu & Kusheherekea harusi ni vizuri sana. Tuenjoy!
Kila kitu tufanye kwa kias The Icebreaker
 
KISA: YESU kubadilisha Maji kuwa Divai harusini.

FUNZO: Kunywa Pombe sio tatizo, tatizo lipo kwenye kulewa na unapozidisha. Walokoke wekeni Pombe katika Shughuli zenu. Mnazingua mjue!!? Pombe ni Tiba. Pombe ni Muhimu katika Maisha ya Mwanadamu & Kusheherekea harusi ni vizuri sana. Tuenjoy!
Kila kitu kwa kiasi hata chakula ukila ukavimbiwa ni dhambi! Mbususu yenyewe hata ikiwa HIV ukiila kawaida unanusurika ukizidisha kiasi mpaka ukomoe mara utie mkongo ni dhambi lazima uukwae hivyo kila kitu kwa kiasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KISA: Siku Daudi anapakwa Mafuta na Nabii. Nyumbani kwao kwa Mzee Yese kulikua na Midume mikubwa kama yote yaani kama 7 hivi ila Daudi akiwa Chalii kabisa yaani kama 15 hivi akapewa Ukuu.

Funzo: Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua wala haingalii upo wapi na unafanya nini wakati huo. Kila mtu anakusudi lake Duniani hapa. Kaa kwa kutulia, Fanya Ibada vizuri na Msikilize Mungu.
Kila jambo na wakati wake
 
Mimi nadhani kuna namna lile kombea alilotumia Daudi kumuua Goliath kwa jiwe moja, limeandikwa kirahisi tu na bible ila it was a gun and bullet...najua mtasema hio tech ulikua bado huo muda ila ilikua ni namna ya Gun! Gobole la kienyeji unaweza weka hata kipande cha nondo kilichotengenezwa vzr.
David was intelligent and wise.
Ha ha haa,lilikuwa jiwe Mkuu,kajiwe...afu kumbuka alipigwa kwa head
 
Mimi nadhani kuna namna lile kombea alilotumia Daudi kumuua Goliath kwa jiwe moja, limeandikwa kirahisi tu na bible ila it was a gun and bullet...najua mtasema hio tech ulikua bado huo muda ila ilikua ni namna ya Gun! Gobole la kienyeji unaweza weka hata kipande cha nondo kilichotengenezwa vzr.
David was intelligent and wise.
[emoji2962][emoji848] hii iundiwe maada maalum ila isichangiwe na wafia dini[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila kitu kwa kiasi hata chakula ukila ukavimbiwa ni dhambi! Mbususu yenyewe hata ikiwa HIV ukiila kawaida unanusurika ukizidisha kiasi mpaka ukomoe mara utie mkongo ni dhambi lazima uukwae hivyo kila kitu kwa kiasi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye HIV nimekuelewa mkuu
 
1. Daudi pamoja na kudharaulika umbile lake lakini alimuua Goliath

2. Petro pamoja na kuaminiwa kote lakini aliweza kumkana yesu Mara tatu

3. Yusuph pamoja na kukataliwa na nduguze lakini akageuka kuwa nguzo kuu

4. Yusuph pamoja na ugwadu wa kitambo kirefu lakini aligoma offer ya game kutoka kwa mke wa boss

5.
6.
7.
Nakuendelea.....
Mapito aliyopitia Ayubu
 
Back
Top Bottom