Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 kumbe hii inshu ya kula tunda kimashihara haijaanza leo wala jana ipo tokea kitambo hukoDaudi kumla mke wa askari wake kimasikhara....
Abnan kumla dadaake kimasikhara.....
Walikua wagai gai sanaWatu wa Sodoma na Gomora pamoja na kufirana wao kwa wao hawakutosheka mpaka wakataka kuwafira malaika.
Hatimaye wakaangamizwa kwa moto mkubwa.
Hapa ndio utajua pesa sio kila kituYuda Msaliti Pamoja Na Kupewa Mpunga Wa Kutosha Lakini Bado Akajinyonga Na Hela Akaacha
Kila kitu tufanye kwa kias The IcebreakerKISA: YESU kubadilisha Maji kuwa Divai harusini.
FUNZO: Kunywa Pombe sio tatizo, tatizo lipo kwenye kulewa na unapozidisha. Walokoke wekeni Pombe katika Shughuli zenu. Mnazingua mjue!!? Pombe ni Tiba. Pombe ni Muhimu katika Maisha ya Mwanadamu & Kusheherekea harusi ni vizuri sana. Tuenjoy!
Kila kitu kwa kiasi hata chakula ukila ukavimbiwa ni dhambi! Mbususu yenyewe hata ikiwa HIV ukiila kawaida unanusurika ukizidisha kiasi mpaka ukomoe mara utie mkongo ni dhambi lazima uukwae hivyo kila kitu kwa kiasiKISA: YESU kubadilisha Maji kuwa Divai harusini.
FUNZO: Kunywa Pombe sio tatizo, tatizo lipo kwenye kulewa na unapozidisha. Walokoke wekeni Pombe katika Shughuli zenu. Mnazingua mjue!!? Pombe ni Tiba. Pombe ni Muhimu katika Maisha ya Mwanadamu & Kusheherekea harusi ni vizuri sana. Tuenjoy!
Kila jambo na wakati wakeKISA: Siku Daudi anapakwa Mafuta na Nabii. Nyumbani kwao kwa Mzee Yese kulikua na Midume mikubwa kama yote yaani kama 7 hivi ila Daudi akiwa Chalii kabisa yaani kama 15 hivi akapewa Ukuu.
Funzo: Mungu akitaka kukupa hakuandikii barua wala haingalii upo wapi na unafanya nini wakati huo. Kila mtu anakusudi lake Duniani hapa. Kaa kwa kutulia, Fanya Ibada vizuri na Msikilize Mungu.
Ha ha haa,lilikuwa jiwe Mkuu,kajiwe...afu kumbuka alipigwa kwa headMimi nadhani kuna namna lile kombea alilotumia Daudi kumuua Goliath kwa jiwe moja, limeandikwa kirahisi tu na bible ila it was a gun and bullet...najua mtasema hio tech ulikua bado huo muda ila ilikua ni namna ya Gun! Gobole la kienyeji unaweza weka hata kipande cha nondo kilichotengenezwa vzr.
David was intelligent and wise.
[emoji2962][emoji848] hii iundiwe maada maalum ila isichangiwe na wafia dini[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nadhani kuna namna lile kombea alilotumia Daudi kumuua Goliath kwa jiwe moja, limeandikwa kirahisi tu na bible ila it was a gun and bullet...najua mtasema hio tech ulikua bado huo muda ila ilikua ni namna ya Gun! Gobole la kienyeji unaweza weka hata kipande cha nondo kilichotengenezwa vzr.
David was intelligent and wise.
Kwenye HIV nimekuelewa mkuuKila kitu kwa kiasi hata chakula ukila ukavimbiwa ni dhambi! Mbususu yenyewe hata ikiwa HIV ukiila kawaida unanusurika ukizidisha kiasi mpaka ukomoe mara utie mkongo ni dhambi lazima uukwae hivyo kila kitu kwa kiasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haa,Mkuu anakataa kabisa[emoji2962][emoji848] hii iundiwe maada maalum ila isichangiwe na wafia dini[emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapito aliyopitia Ayubu1. Daudi pamoja na kudharaulika umbile lake lakini alimuua Goliath
2. Petro pamoja na kuaminiwa kote lakini aliweza kumkana yesu Mara tatu
3. Yusuph pamoja na kukataliwa na nduguze lakini akageuka kuwa nguzo kuu
4. Yusuph pamoja na ugwadu wa kitambo kirefu lakini aligoma offer ya game kutoka kwa mke wa boss
5.
6.
7.
Nakuendelea.....