Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Liliisha ikabaki kama kipande cha chaki kile mwalimu anarushia wanafunzi wa backbencher kwa minong'ono wakati yeye anaandika ubaoniYule jamaa nae,dudu itakuwa ilichakaa sana..daa
Smart911 njoo uone,eti ukifanya sana kinabaki kipande.Ha ha haaLiliisha ikabaki kama kipande cha chaki kile mwalimu anarushia wanafunzi wa backbencher kwa minong'ono wakati yeye anaandika ubaoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuwezi hata chembeNa jamaa alikomaa balaa,ingekuwa Mimi na wewe sijui
Sio HIV tu hata huku makanisani muende kwa kiasi unakuta mtu jpili anaenda, sawa hamnashida, j3 jioni yumo j4 mchana kaenda, j5 jioni kaenda, alhmisi kaenda, ijumaaa mkesha kuamkia jmosi, jmosi yenyewe mchana kaenda, na bado ukimuuliza unaamini uchawi upo anakuambia hapana! Sio dhambi hiyoKwenye HIV nimekuelewa mkuu
Haya chauvivuSio HIV tu hata huku makanisani muende kwa kiasi unakuta mtu jpili anaenda, sawa hamnashida, j3 jioni yumo j4 mchana kaenda, j5 jioni kaenda, alhmisi kaenda, ijumaaa mkesha kuamkia jmosi, jmosi yenyewe mchana kaenda, na bado ukimuuliza unaamini uchawi upo anakuambia hapa! Sio dhambi hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, haifutiki, inazidi kua kubwa na imara...Dudu
Thread 'Ladha ya kupombeka' Ladha ya kupombekaKuna yule jamaa aliwapelekea moto mabinti zake anaitwa Loti. Biblia haisemi lakini atakuwa alipiga nao 3some
SOMO: Mabinti wawe makini mbele za baba yao waepuke kuvaa mavazi ya mitego
Tabia labda...Hakuna kilichokushinda,vilivyosalia ni mipango tu then utatimiza