Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikatai wala sikubali siunajua uongo mwingine unaendana na ukweli [emoji23][emoji23]Ha ha haa,Mkuu anakataa kabisa
Jamaa alikua najihisi yupo peponi maana kamla mama bado aliku anachepuka na bado kangojea mayai yake ya pevuke nayo kayalaKuna yule jamaa aliwapelekea moto mabinti zake wawili anaitwa Loti. Biblia haisemi lakini atakuwa alipiga nao 3some
SOMO: Mabinti wawe makini mbele za baba yao waepuke kuvaa mavazi ya mitego
Fanya wepesi basi nione kama itafutika...Wakati utafika utakaa sawa....kila jambo lina tamati....itabaki simulizi kwa wajukuu zako
Hatari mjomba! Kama haijafikia hapo ujue bado ujaifaidi fildausi bado una kazi ndefu sana shida tu pesa ndio imekuja kuingilia katiSmart911 njoo uone,eti ukifanya sana kinabaki kipande.Ha ha haa
2. Petro pamoja na kuaminiwa kote lakini aliweza kumkana yesu Mara tatu
Hakika cuteHili tayari ilishapangwa na Yesu alisema kabisa..kabla jogoo hajawika utanikana mara tatu.
Mungu ndiye hupanga kila tunachofanya hapa duniani na kama hapangi basi anajua kila hatua ya maisha ya kila mwanadamu.
Petro hata angefanyaje asingeweza kuikwepa hii dhambi.
Ndio maana kuna wakati mtu unatafakari hizi dhambi unahisi kwamba ni Mungu mwenyewe aliziweka..
Hatareee 😂 😂Hatari mjomba! Kama haijafikia hapo ujue bado ujaifaidi fildausi bado una kazi ndefu sana shida tu pesa ndio imekuja kuingilia kati
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alifaidi kwa kweliYule jamaa nae,dudu itakuwa ilichakaa sana..daa
Wanawake 1,000 lakini kafanikiwa kuzaa watoto 3 tu!!!MTAWA SULEIMANI NA WAKE 700,MASURIA 300
Na uoga wa kulea watoto ilichangia,japo kifo kilimpitia mapema sana, hakuinjoi maisha...Nahisi alikuwa anajua calendar
Hata ww unaeza chakata/chakatwa wanawake/wanaume 50 na ukapata mtoto 1Wanawake 1,000 lakini kafanikiwa kuzaa watoto 3 tu!!!
kabisa yanIvo tusilaumu walikimbia shule
Ngoja niipitiee hiiThread 'Ladha ya kupombeka' Ladha ya kupombeka
Yule mwamba alikuwa ana mabalaa asee. Kwa hiyo unataka kutuambia alikula kuku na mayai yake kabisa??Jamaa alikua najihisi yupo peponi maana kamla mama bado aliku anachepuka na bado kangojea mayai yake ya pevuke nayo kayala
Sent using Jamii Forums mobile app
Malaika waliwaonaje🤔Watu wa Sodoma na Gomora pamoja na kufirana wao kwa wao hawakutosheka mpaka wakataka kuwafira malaika.
Hatimaye wakaangamizwa kwa moto mkubwa.