Tukumbushane Wachagga waliowahi kusakata kabumbu kwa kiwango cha ligi kuu bara

Tukumbushane Wachagga waliowahi kusakata kabumbu kwa kiwango cha ligi kuu bara

Wachaga kweny uchezaji wa Mpira Ni ngumu kuwapata, kuna story niliwah kusikia Etiiii zaman Wachaga walikuwa wanacheza sana Mpira. Siku moja wakawa wanacheza na Timu kubwa Kwel sasa masawe akawa amewapiga chenga walinzi wa Timu pinzani jamaa akabaki na kipa peke yake, kuchek jukwaaan akaona nyomi y'all watu, jamaa ikabid akimbilie getini kuuliza mapato, aiseeee mushi mpaka sasa iv umeingiza sh ngap??? Mpaka Leo Hakuna mchaga anayetaka kucheza Mpira Kila mtu anataka agae getin akusanye hela!!!!
Hatare eee
 
Wachaga kweny uchezaji wa Mpira Ni ngumu kuwapata, kuna story niliwah kusikia Etiiii zaman Wachaga walikuwa wanacheza sana Mpira. Siku moja wakawa wanacheza na Timu kubwa Kwel sasa masawe akawa amewapiga chenga walinzi wa Timu pinzani jamaa akabaki na kipa peke yake, kuchek jukwaaan akaona nyomi y'all watu, jamaa ikabid akimbilie getini kuuliza mapato, aiseeee mushi mpaka sasa iv umeingiza sh ngap??? Mpaka Leo Hakuna mchaga anayetaka kucheza Mpira Kila mtu anataka agae getin akusanye hela!!!!
Hahaaaa
 
Sidhani kama kuna wachagga wengi kwenye kucheza soka.Mara nyingi kazi ambazo mchagga pesa mpaka ipite kwa mtu ndo imfikie mmmh...... mfano bendi ya muziki mtu akae golini akusanye afu yeye mwimbaji apokee baadaye kwa wachagga ngumu hii..... Ndo maana hakuna bendi uchaggani,



TMK ya Temba. Kwani Temba ni Msukuma
 
Inaelekea ndugu yangu hujui ulichoandika ama umeandika bila kufahamu kiundani kile unacho kijibia.

Hujui namna ambavo vipaji kama michezo na muziki ni biashara kama biashara nyingine.

Mleta Mada kama hukumwelewa alitaka kutuonyesha kuwa sisi wachaga hatuna vipaji sana katika michezo na sanaa.

Ulitakiwa utoe Takwimu za wanakabumbu kama walivofanya wenzako hapo juu.

Kukufumbua tu, wapo pia wachaga ktk vipaji vya muziki ambao Wewe bilashaka huwajui.
Wachache miongoni mwao ni Snura, Temba, Ney wa Mitegi nawengine wataongezea wenzako.
hivi barnabas mwanamzuki ni mtu wa wapi vile
 
Wachaga na mpira wapi na wapi. Ndio maana kwishoni huyo massawe akaishia kuiba gari la jeshi/mwanajeshi sijui kesi yake iliishaje....rangi yake kamili na anachoweza kufanya ikaonekana



Vyasaka hamuishi husda
 
Unatoka mbele za watu na kujifarakamua akuwa snura ni mwanamuziki.


Unajuaaana ya mwanamuziki

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kwa nguvu hamna mwanamziki pale kazi yake kudhalilisha wanawake na mwenzie shishi hawana vipaji vya uimbaji kabsa labda kujivua nguo
 
Wahenga watamkumbuka LYIMO wa TPC miaka ya 1960's akichezea TPC na Kilimanjaro Sunlight /Taifa Cup na Nafikiri Tanzania.
 
Sidhani kama kuna wachagga wengi kwenye kucheza soka.Mara nyingi kazi ambazo mchagga pesa mpaka ipite kwa mtu ndo imfikie mmmh...... mfano bendi ya muziki mtu akae golini akusanye afu yeye mwimbaji apokee baadaye kwa wachagga ngumu hii..... Ndo maana hakuna bendi uchaggani,
Hahahaaaa....!!
 
Mecky Mexime siyo Mkaguru kweli?!!
Tujiridhishe jamani kwa huyu kocha mvumbua vipaji na mwenye nidhamu kubwa ya maisha na kazi yake.
Ni kweli Mecky sio mchaga! Wazazi wake wako pale Mkamba Kilombero! Wana asili ya Morogoro au Dodoma lakini sio uchagani
 
Back
Top Bottom