Tukumbushane Wachagga waliowahi kusakata kabumbu kwa kiwango cha ligi kuu bara

Tukumbushane Wachagga waliowahi kusakata kabumbu kwa kiwango cha ligi kuu bara

Chila Tenga
tenga%2Bchuo.jpg

Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenga (kushoto) akifurahia kwa vinywaji na wanafunzi wenzake wa Chuo Kikuu cha Dar e Salaam (UDSM) mwaka ya 1981.
 
Sidhani kama kuna wachagga wengi kwenye kucheza soka.Mara nyingi kazi ambazo mchagga pesa mpaka ipite kwa mtu ndo imfikie mmmh...... mfano bendi ya muziki mtu akae golini akusanye afu yeye mwimbaji apokee baadaye kwa wachagga ngumu hii..... Ndo maana hakuna bendi uchaggani,
Inaelekea ndugu yangu hujui ulichoandika ama umeandika bila kufahamu kiundani kile unacho kijibia.

Hujui namna ambavo vipaji kama michezo na muziki ni biashara kama biashara nyingine.

Mleta Mada kama hukumwelewa alitaka kutuonyesha kuwa sisi wachaga hatuna vipaji sana katika michezo na sanaa.

Ulitakiwa utoe Takwimu za wanakabumbu kama walivofanya wenzako hapo juu.

Kukufumbua tu, wapo pia wachaga ktk vipaji vya muziki ambao Wewe bilashaka huwajui.
Wachache miongoni mwao ni Snura, Temba, Ney wa Mitegi nawengine wataongezea wenzako.
 
Wapo hata miaka ya sitini na sabini walikuwepo.
Nimesahau tu majina,nakumbuka marehemu baba yangu alipokuwa akiwataja.
Mmoja wa mchezaji aliyecheza nao hao jamaa wa kichaga ni mmbondei Mbwana Sembwana.
 
Mungi Said - Panama PC mtoni kwa Azizi Ally
 
Inaelekea ndugu yangu hujui ulichoandika ama umeandika bila kufahamu kiundani kile unacho kijibia.

Hujui namna ambavo vipaji kama michezo na muziki ni biashara kama biashara nyingine.

Mleta Mada kama hukumwelewa alitaka kutuonyesha kuwa sisi wachaga hatuna vipaji sana katika michezo na sanaa.

Ulitakiwa utoe Takwimu za wanakabumbu kama walivofanya wenzako hapo juu.

Kukufumbua tu, wapo pia wachaga ktk vipaji vya muziki ambao Wewe bilashaka huwajui.
Wachache miongoni mwao ni Snura, Temba, Ney wa Mitegi nawengine wataongezea wenzako.
Unatoka mbele za watu na kujifarakamua akuwa snura ni mwanamuziki.


Unajuaaana ya mwanamuziki
 
Unatoka mbele za watu na kujifarakamua akuwa snura ni mwanamuziki.


Unajuaaana ya mwanamuziki
Afadhali umenisaidia, maana katika wote aliotaja hapo sijaona mwanamuziki
 
Viwanja vyenyewe watapata wapi wakati washarithishana hadi makaburi...mchaga hawezi fanyia ujinga wa mpira kiwanja cha urithi
Nani kakudanganya hatuna viwanja!!!usi comment kitu usichokijua chalii
 
Back
Top Bottom