Vumbi la Kongo
Member
- Aug 13, 2017
- 13
- 9
Hatare eeeWachaga kweny uchezaji wa Mpira Ni ngumu kuwapata, kuna story niliwah kusikia Etiiii zaman Wachaga walikuwa wanacheza sana Mpira. Siku moja wakawa wanacheza na Timu kubwa Kwel sasa masawe akawa amewapiga chenga walinzi wa Timu pinzani jamaa akabaki na kipa peke yake, kuchek jukwaaan akaona nyomi y'all watu, jamaa ikabid akimbilie getini kuuliza mapato, aiseeee mushi mpaka sasa iv umeingiza sh ngap??? Mpaka Leo Hakuna mchaga anayetaka kucheza Mpira Kila mtu anataka agae getin akusanye hela!!!!
Mimi naanza na Christopher Alex Massawe
Yap!
Mchaga wa marangu kama sio kilema.
HahaaaaWachaga kweny uchezaji wa Mpira Ni ngumu kuwapata, kuna story niliwah kusikia Etiiii zaman Wachaga walikuwa wanacheza sana Mpira. Siku moja wakawa wanacheza na Timu kubwa Kwel sasa masawe akawa amewapiga chenga walinzi wa Timu pinzani jamaa akabaki na kipa peke yake, kuchek jukwaaan akaona nyomi y'all watu, jamaa ikabid akimbilie getini kuuliza mapato, aiseeee mushi mpaka sasa iv umeingiza sh ngap??? Mpaka Leo Hakuna mchaga anayetaka kucheza Mpira Kila mtu anataka agae getin akusanye hela!!!!
Sidhani kama kuna wachagga wengi kwenye kucheza soka.Mara nyingi kazi ambazo mchagga pesa mpaka ipite kwa mtu ndo imfikie mmmh...... mfano bendi ya muziki mtu akae golini akusanye afu yeye mwimbaji apokee baadaye kwa wachagga ngumu hii..... Ndo maana hakuna bendi uchaggani,
hivi barnabas mwanamzuki ni mtu wa wapi vileInaelekea ndugu yangu hujui ulichoandika ama umeandika bila kufahamu kiundani kile unacho kijibia.
Hujui namna ambavo vipaji kama michezo na muziki ni biashara kama biashara nyingine.
Mleta Mada kama hukumwelewa alitaka kutuonyesha kuwa sisi wachaga hatuna vipaji sana katika michezo na sanaa.
Ulitakiwa utoe Takwimu za wanakabumbu kama walivofanya wenzako hapo juu.
Kukufumbua tu, wapo pia wachaga ktk vipaji vya muziki ambao Wewe bilashaka huwajui.
Wachache miongoni mwao ni Snura, Temba, Ney wa Mitegi nawengine wataongezea wenzako.
Wachaga na mpira wapi na wapi. Ndio maana kwishoni huyo massawe akaishia kuiba gari la jeshi/mwanajeshi sijui kesi yake iliishaje....rangi yake kamili na anachoweza kufanya ikaonekana
Unatoka mbele za watu na kujifarakamua akuwa snura ni mwanamuziki.
Unajuaaana ya mwanamuziki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Chidy chibu chibindu!
Kwani temba anaimba mziki au masanii sanii tu?TMK ya Temba. Kwani Temba ni Msukuma
meki meksime pia ni mchaggaMimi naanza na Christopher Alex Massawe
Hahahaaaa....!!Sidhani kama kuna wachagga wengi kwenye kucheza soka.Mara nyingi kazi ambazo mchagga pesa mpaka ipite kwa mtu ndo imfikie mmmh...... mfano bendi ya muziki mtu akae golini akusanye afu yeye mwimbaji apokee baadaye kwa wachagga ngumu hii..... Ndo maana hakuna bendi uchaggani,
Ni muha aliyezaliwa na kukulia TABORAIngawa sina uhakika lakini ninavyojua Bobani ni Mnyamwezi
Haruna moshi ni mnyamwezi,ni familia ya soka hawaharuna moshi boban na patric betweli
Mecky Mexime siyo Mkaguru kweli?!!meki meksime pia ni mchagga
Ni kweli Mecky sio mchaga! Wazazi wake wako pale Mkamba Kilombero! Wana asili ya Morogoro au Dodoma lakini sio uchaganiMecky Mexime siyo Mkaguru kweli?!!
Tujiridhishe jamani kwa huyu kocha mvumbua vipaji na mwenye nidhamu kubwa ya maisha na kazi yake.
Majina Hamna mkuu, hayafiki hata matatu... Ndo maana Mara mexime, Mara bobanNaona watu tunatembeza comment tuu badala ya kutaja majina..[emoji3][emoji116]
Haruna ni mnyamweziharuna moshi boban na patric betweli