Said Sued na Juma Jabu nao walikuwa hivyo hivyoKatika hao wote naona Kapombe ndio ameitendea na anaitendea haki hiyo namba muda wote utamkuta kwenye kushambulia na kwenye kulinda utamkuta,dk 90 anatembea na moto huo huo.
Salum Kanoni nafikri alikuwa anacheza kushoto zaidi, hawa jamaa ndiyo Simba iliyomaliza ligi bila kufungwa.Salum Kanoni na Juma Jabu
Soud Abdi Mzanzibar yule alikuwa anacheza left backSoud abdu,said sued
Hakujawahi kutokea kama Noriega kwenye hiyo namba.Naona legasy ya Alfonce Modest kushoto inapotezwa na M. Hussein
Ramadhan Wasso alikuwa beki ya kushoto kulia alikuwa Said SuedHivi waso walicheza simba?
Salum Kanoni na Juma Jabu
Salum Kanoni na Juma Jabu
Musa Msangi R.I.P
Rajab Msoma R.I.P
Ramadhan wasso
Umeambiwa mbavu ya kulia, sasa wewe unaleta habari za magolikipa na viungo tena!Mkuu PTER malizia hii kama ntakosea nisahihishe
Juma Kaseja
Said sued/ Mussa Msangi
Ramadhan Ramadhan
Suleiman Matola
Boniface Pawasa
Patrick Betwel/ Christopher Massawe
....
.....
Hawa watoto wa juzi jf hawataelewa list hii
Hii ndiyo Simba iliyokuwa na wachezaji hatari wa ndani kuliko kipindi chochote ambacho nimeanza kufuatilia Simba.Mkuu PTER malizia hii kama ntakosea nisahihishe
Juma Kaseja
Said sued/ Mussa Msangi
Ramadhan Ramadhan
Suleiman Matola
Boniface Pawasa
Patrick Betwel/ Christopher Massawe
....
.....
Hawa watoto wa juzi jf hawataelewa list hii
Twaha hamidu ndio mwenye legacy yake hapoNaona legasy ya Alfonce Modest kushoto inapotezwa na M. Hussein
Tatizo la kapombe sio mndavaSaid Korongo,Kasongo Athumani
Huyo Kaniki alikuwa kahenda hewani,kashiba na tege flani zile za mpira alikuwa na mashuti sana.Hii ndiyo Simba iliyokuwa na wachezaji hatari wa ndani kuliko kipindi chochote ambacho nimeanza kufuatilia Simba.
Juma kaseja
Said Sued
Ramadhan Wasso
Boniface Pawassa
Victor Costa
Patrick Betwel
Amri Said
Suleiman matola.
Christopher Alex Massawe.
Primuns Kasonso
Steven Mapunda Garincha
Ulimboka Mwakingwe
Akilimali Yahya
Emanuel Gabriel
Lubigisa Madata
Shekhan Rashid
Joseph Kaniki
Athuman Machuppa
Na mzee wa kiminyio akimalizia soka lake
Unaweza kuona kwenye kikosi hicho kuna mgeni mmoja tu Ramadhan Wasso, japo kuna wengine waliingia na kutoka kina Issa Abushiri pamoja na Rajabu Mwinyi
Na kasi pia, ila hakuwa na mafanikio kisoka kama wachezaji wenzake kwenye hiyo orodhaHuyo Kaniki alikuwa kahenda hewani,kashiba na tege flani zile za mpira alikuwa na mashuti sana.
Nteze John Lungu kachezea Simba 1993 ?Ya kwangu ni ile Iliyofika fainali ya kombe la Caf 1993
Mohamed Mwameja,Kasongo Athumani, David Mihambo, Michael Paul ‘Nylon’, Duwa Said(japo hakucheza mashindano yale), Iddi Selemani ‘Meya’, Damian Kimti, Deo Mkuki,Fikiri Magoso, George Masatu, Twaha Hamidu na Mavumbi Omar,Often Martin, George Lucas ‘Gazza’, Mbuyi Yondani, Suleiman Pembe, Ramadhani Lenny (marehemu), Edward Chumila (marehemu),Malota Soma "Ball juggler", Hussein Marsha, Ayoub Mzee,Nteze John Lungu