PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,518
- 13,144
Alikuwa mzembe mzembe kwenye mazoezi,kuna kipindi alipata chanel nje akagusa gusa soka huko baadaye akajiingiza kusafirisha unga kuna nchi alikamatwa hakuna taarifa kama walitoka.Na kasi pia, ila hakuwa na mafanikio kisoka kama wachezaji wenzake kwenye hiyo orodha