Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Mi shilingi tano ndio pesa ndogo naanza,tumia nikipewa Mia mbili ya noti shule nakunywa shafi cola sh 100, mihogo ya 50 naficha 50
 
Nakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
Duuh! Bila shaka utakuwa na wajukuu sasa.
 
Nakumbuka Nilinunua DABO DEKI Manzese kwa Tsh 35,000/= Enzi hizo CD hakuna nikanunua Kanda(Cassette) ya Shabba Ranks 1992 kwa Tsh 300.

Kiwanja Changu cha kwanza Robo Eka nilinunua kwa Tsh 25,000/= nikaja kukiuza kwa Laki 3 na Nusu mwaka 1995. (DSM)

Mzee Kiwanja Chake alinunua Tsh 200 (DSM) Size Miguu 20 kwa 25!!

Nina Risiti nilinunua Godoro kwa Tsh 35,000/= na Kitanda Popo Bawa kwa Tsh 40,000/= ,Godoro nilitumia kutengeneza sofa na Kitanda bado kipo mpaka leo nakitumia.

Vibanda umiza tulikuwa tunaingia kwa Tsh 20 kucheck picha za Rambo,Check Norris na Trailer Black Box na kina Mkomboti Evon Chakachaka!!
 
We ni Mhenga mkuu
Nakumbuka Nilinunua DABO DEKI Manzese kwa Tsh 35,000/= Enzi hizo CD hakuna nikanunua Kanda(Cassette) ya Shabba Ranks 1992 kwa Tsh 300.

Kiwanja Changu cha kwanza Robo Eka nilinunua kwa Tsh 25,000/= nikaja kukiuza kwa Laki 3 na Nusu mwaka 1995. (DSM)

Mzee Kiwanja Chake alinunua Tsh 200 (DSM) Size Miguu 20 kwa 25!!

Nina Risiti nilinunua Godoro kwa Tsh 35,000/= na Kitanda Popo Bawa kwa Tsh 40,000/= ,Godoro nilitumia kutengeneza sofa na Kitanda bado kipo mpaka leo nakitumia.

Vibanda umiza tulikuwa tunaingia kwa Tsh 20 kucheck picha za Rambo,Check Norris na Trailer Black Box na kina Mkomboti Evon Chakachaka!!
 
IMG_20200619_081156_367.jpg

☝wahenga wenzangu😀
 
Mimi ni wa 90's naona mnapiga story za 60's ngoja niulize.

Tukisikiliza stori zenu ndiyo tunajua kwanini mnaipigia sana kura CCM. Tulikua shimoni tumetoka kiasi chake, ingawa si sana. Mnafikiri bado CCM ina uwezo wa kuzidi kututoa shimoni?

Ni dhahiri maendeleo ya vitu tunayo, mnaonaje maendeleo ya watu? Yako vyema kulinganisha na huko nyuma?
 
Back
Top Bottom