Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Duuuuhhhh wewe kweli muhengaNakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
Mkuu hii kitu asahv hugusi ni very expensive sana[emoji1595]Nilinunua hii saa ya CASIO ya digital Tsh 150,
Shule wakanichagua kuwa timekeeper
View attachment 1483053
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ni kweli Soda nakumbuka ilikuwa sent 75
Me nakumbuka tu nauli ya daladala enzi niko dent ilikua sh 50
nini siri ya mafanikio.wewe ni babu mwenye wajukuu wakubwa kabisaNa zaidi mkuu
HaswaLah we Mhenga
Tulitoka shimoni kivipi??Mimi ni wa 90's naona mnapiga story za 60's ngoja niulize.
Tukisikiliza stori zenu ndiyo tunajua kwanini mnaipigia sana kura CCM. Tulikua shimoni tumetoka kiasi chake, ingawa si sana. Mnafikiri bado CCM ina uwezo wa kuzidi kututoa shimoni?
Ni dhahiri maendeleo ya vitu tunayo, mnaonaje maendeleo ya watu? Yako vyema kulinganisha na huko nyuma?
Huku ambako sasa kuna parking za magari kwenye uwanja mpya ndiko foleni ilikuwa ya hatari, ukikata tiketi yako kuingia kuna mageti 3.Lah we Mhenga
KivyoteTulitoka shimoni kivipi??
Kwani hujui kila zama na ujinga wake??
kumbe jibuKivyote
kumbe jibu unalo babu!Kivyote
Ni sawa tu kwasababu umeamua twende king'ombe ng'ombekumbe jibu
kumbe jibu unalo babu!
Unisamehe kama nimekujibu ndivyo sivyo!
Wewe mtoto mkuu. Kwanza soda zilikuwa mjini tu. Soda iliyotamba ilikuwa pepsi 300ml sh 6 tu. Na hapo imepanda beiSoda sh 80
Kabla ya hapo ilikuwa sh.20/=. Sijakosea namaanishi ishirini tu.Nilianza darasa la kwanza shule ya msingi serikali ada shilingi 200
Shikamoo muhenga πππNimepanda nauli shs 5 wakati huo mtu mzima shs 30. Moshi mjini hadi Kiborloni kulikua na mabasi yanaitwa Mapigo 6, Maranzana na Asante Babu tale πππ
Nilinunua biskuti ya marie mwaka 1976 nikiwa kwenye bus natoka arusha nahamia kikazi peramiho dah siku zinakimbia
Shikamoo muhenga πππ