Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Tusisahau tulipo shindana kuvaa Pekosi, laizoni, kaptula na stoking, kuchana na kuweka way...
Wenzetu siku hizi wananyoa kama kichwa cha jogoo, na kuvaa kata K! kweli kila zama na ujinga wake πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Nakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
Hii ni chai.
 
Sekondari miaka ya 60-70.
Ninakataaa
 
Chips yai sh 5 enzi hizo ndio Chips za mitaani zinaanza,Kwenye mabaa ilikuwa ni mwendo wa Ndizi choma na kuku au nyama choma, Kwa mpemba pale karibu na Hongera baa Chuo cha Ustawi lazima ukutane na foleni ya watu wanasubili Oda yao na enzi hizo Chips ilikuwa km appetizer tu ,unagonga chips yai hlf ukirudi Home Menu kama kawa.
 
Reactions: amu
Kweli hiyo razoni na pekos buga
Tusisahau tulipo shindana kuvaa Pekosi, laizoni, kaptula na stoking, kuchana na kuweka way...
Wenzetu siku hizi wananyoa kama kichwa cha jogoo, na kuvaa kata K! kweli kila zama na ujinga wake [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…