Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ah...sh 50 juzi tu hp wewe uzao wangu hii mada ya wakongwe tukae pembebi ushasikia feni 600 hamsini tumeoanda daladala toka shule wao walikodia teksi kariakoo hadi temeke khatari!Me nakumbuka tu nauli ya daladala enzi niko dent ilikua sh 50
Kaa we Mhenga
Sasa hivi ata sembe robo upati tuko kimwendo kasi zaidiNilinunua Nyumba Morogoro Mjini ktk ile project ya Mwl ya Urbanization kwa bei ya TSHS 240! Mtaa wa Konga. Mwaka 1974
Hivi Bado zipo?M nakumbuka walkman yangu nilininunua 2500
Nilinunua Nyumba Morogoro Mjini ktk ile project ya Mwl ya Urbanization kwa bei ya TSHS 240! Mtaa wa Konga. Mwaka 1974
Hana lolote huyu mkuu...dogo mnohuyu!amehadithiwaMhenga
nakumbuka gari ya jeshi 109 land rover fixed for radio ilikuwa Tsh.58000 na kuna maandishi yaliyo andikwa mbele ya dereva kumsisitiza Aitunze!Nakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
Hebu weka ile ya fulu magome watu washangae [emoji16][emoji16][emoji16]Pipi kidonge vinne vya rangi rangi sh 5
Hii ni juzi tu hapa 2007.Me nakumbuka tu nauli ya daladala enzi niko dent ilikua sh 50