Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Tukumbushane wahenga vitu tulivyonunua enzi hizo na bei zake

Nimesafiiri MORO - DSM kwa mabasi ya MORETCO nauli ilikuwa 1½ Tshs! Pia kulikuwa na Basi binafsi linaitwa MZALENDO! Nauli ilikuwa TShs 2
 
Nakumbuka fan langu la kwanza nilinunua sh. 600 Kariakoo na nikiwa na rafiki yangu tukakodi tax kutoka Kariakoo mpaka Temeke sh. 50 enzi hizo Uda sent 20 hebu kumbuka na wewe vijana mtuache kidogo.
nakumbuka gari ya jeshi 109 land rover fixed for radio ilikuwa Tsh.58000 na kuna maandishi yaliyo andikwa mbele ya dereva kumsisitiza Aitunze!
 
Back
Top Bottom