chonjo Nation
Member
- Apr 25, 2020
- 48
- 43
hahahha mbona unatupeleka chakaNilinunua Nyumba Morogoro Mjini ktk ile project ya Mwl ya Urbanization kwa bei ya TSHS 240! Mtaa wa Konga. Mwaka 1974
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahha mbona unatupeleka chakaNilinunua Nyumba Morogoro Mjini ktk ile project ya Mwl ya Urbanization kwa bei ya TSHS 240! Mtaa wa Konga. Mwaka 1974
Me nakumbuka tu nauli ya daladala enzi niko dent ilikua sh 50
Eti naye anajiona mhenga kumbe mtoto wa juzi tu. Watu tunaongelea ishu za early 60s tunapata uhuru to early 70s wakati huo wengi humu hamjazaliwa. Hata wewe naamini ulikuwa bado hujaanza kuleta trouble zako katika dunia hii [emoji16][emoji16][emoji16]Hii ni juzi tu hapa 2007.
Nimekula kula chumvi kidogoWe Mhenga
Tuliozaliwa miaka 2000 tuna comment wapiDuuh!!
😀😀Eti naye anajiona mhenga kumbe mtoto wa juzi tu. Watu tunaongelea ishu za early 60s tunapata uhuru to early 70s wakati huo wengi humu hamjazaliwa. Hata wewe naamini ulikuwa bado hujaanza kuleta trouble zako katika dunia hii [emoji16][emoji16][emoji16]
Wakati tunasoma sekondari miaka ya 60 - 70 tulikuwa tunasafiri kwa warrant za serikali; na tukifika shuleni tunarudishiwa pesa zote tulizotumia safarini. Tulikuwa tunafuta nauli kwenye tiketi na risti zingine za gari na mapochopocho ya njiani na kuweka namba kubwa ili turudishiwe pesa zaidi. Ufisadi na upigaji vilianzia hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
Fungua Uzi wakoTuliozaliwa miaka 2000 tuna comment wapi
Hebu weka ile ya fulu magome watu washangae [emoji16][emoji16][emoji16]
Daah sawa banaHii ni juzi tu hapa 2007.
Hahahaa kwahyo wataka kusema kwenye wahenga me sipo, kweli kabisa?Eti naye anajiona mhenga kumbe mtoto wa juzi tu. Watu tunaongelea ishu za early 60s tunapata uhuru to early 70s wakati huo wengi humu hamjazaliwa. Hata wewe naamini ulikuwa bado hujaanza kuleta trouble zako katika dunia hii [emoji16][emoji16][emoji16]
nilikuwaga nahisi ww ni mdada wa makamo sana. Kumbe uuh bado kabinti tu.😀😀Daah sawa bana
Mm nakumbuka soda ilikua 250 mwaka 2000 japo cyo zamani Ila kwangu nihistoria
Teksi toka kkoo hadi temeke kwa sh 50.Ah...sh 50 juzi tu hp wewe uzao wangu hii mada ya wakongwe tukae pembebi ushasikia feni 600 hamsini tumeoanda daladala toka shule wao walikodia teksi kariakoo hadi temeke khatari!
Eeh bana 😅, nimekula chumvi kiasi chakeNa wew Mhenga kidogo ila [emoji1787][emoji3]
😂😂 Kwanini ulihisi hivyo, ila nishavuka kwenye ubinti bana.nilikuwaga nahisi ww ni mdada wa makamo sana. Kumbe uuh bado kabinti tu.😀😀