Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Mama Chips, Rwegasira na Mzee Songambele walikuwa na RC Dsm

Mikoani nawakumbuka Anatory Tarime Iringa
Kigoma Mwanzoni Mwa 1990s alikuwa Chrisant Maji ya Tanga Mzindakaya

Shinyanga early 1970 alikuwa Kingunge Ngombale Mwiru

Abubakar Mgumia

Lindi Mh. Nicodemus Banduka

Kagera 1990s alikuwa Philip Japhet Mangula na hata ukatib wa CCM wakat wa Mkapa aliupata 1997 akitokea Kagera

William Lukuvi RC Dsm
JF ni jungu kuu, Nicodemus Banduka namkumbuka.
 
JF ni jungu kuu, Nicodemus Banduka namkumbuka.

Alikuwa Mwalimu wa History wa Mh. Lowassa akiwa Secondary

Kosa lake alikataa kuwa Mwana Mtandao 1995-2005 akawa Team ya Fredrick Sumaye

Alipo sikia Wana Mtandao wameshinda May 4, 2005 kule Dodoma alianza kujiandaa kuondoka Lindi hata kabla ya Kampeni haijaanza na kweli walipoingia alikuwa Mtu wa Mwanzo mwanzo kupumzishwa

Siasa Acha iitwe Siasa

Mh. Ditopile alikuwa Team wana Mtandao hata alipopata kesi ya Mauaji alikuwa anaingia Mahakamani kwa kupitia Mlango wa Majaji
 
Alikuwa Mwalimu wa History wa Mh. Lowassa akiwa Secondary

Kosa lake alikataa kuwa Mwana Mtandao 1995-2005 akawa Team ya Fredrick Sumaye

Alipo sikia Wana Mtandao wameshinda May 4, 2005 kule Dodoma alianza kujiandaa kuondoka Lindi hata kabla ya Kampeni haijaanza na kweli walipoingia alikuwa Mtu wa Mwanzo mwanzo kupumzishwa

Siasa Acha iitwe Siasa

Mh. Ditopile alikuwa Team wana Mtandao hata alipopata kesi ya Mauaji alikuwa anaingia Mahakamani kwa kupitia Mlango wa Majaji
Asante kwa somo zuri.
 
Back
Top Bottom