Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

Tukumbushane Wakuu wa Mikoa wa miaka ya nyuma

BRIGADIA GENERAL MUHIDIN KIMARIO (R.I.P)
SARA MWENGE (R.I.P)
ANNA ABDALLAH
ATHUMAN KABONGO
W.LUKUVI
W.KUSILA
JOHN TUPA
GUNINITA
NAPELAPE NNAUYE
JOHN NCHIMBI
ZAINABU KWIKWEGA
SHABANI KISU
D.OLE NJOLAY
 
Alikuwa Mwalimu wa History wa Mh. Lowassa akiwa Secondary

Kosa lake alikataa kuwa Mwana Mtandao 1995-2005 akawa Team ya Fredrick Sumaye

Alipo sikia Wana Mtandao wameshinda May 4, 2005 kule Dodoma alianza kujiandaa kuondoka Lindi hata kabla ya Kampeni haijaanza na kweli walipoingia alikuwa Mtu wa Mwanzo mwanzo kupumzishwa

Siasa Acha iitwe Siasa

Mh. Ditopile alikuwa Team wana Mtandao hata alipopata kesi ya Mauaji alikuwa anaingia Mahakamani kwa kupitia Mlango wa Majaji
hapa umemleta Mateo Quaresi
 
Nicodemus Banduka
Jaka Mwambi,
Marco Mabawa,
Guntram Itatiro
Chrisant Majiyatanga Mzindakaya
Nassoro Rufunga
Abubakar Mughumia
 
Mr Maswanya- Lake Zone
Mr.Makinda-Lake Zone
Lawi Nangwanda Sijaona-Mtwara
Charles Kileo-Arusha
Samuel Sita -Kilimanjaro
John Malecela-Iringa
Edward Barongo
Agustine Mwingira
 
Back
Top Bottom