Mwanakijiji naomba offpoint kiduchu balatanda na babadesi Sikonge naombe mistari song moja .nilikumbwa na mikasa nikawa napenda kuliimba ila sijui heading wala mtunzi
"nimekusamehe lakini sitokusau visa ulivyonitendea mama ee eeh ulinikana wakati nilpokuwa na shida ukasahau yote nilokutenda wakati unaelewa hakuna komandoo wa shida "
Here we go;
Nimekusamehe lakini sitokusahau visa ulivyonitendea Kalala ee eeh,visa ulivyonitendea Kalala ee eeh
Ulinikana ee wakati mi na shida,ukasahau yote tuliyofanya nawe,wakati unaelewa hakuna Komando wa shida,wakati unaelewa hakuna Bingwa wa shida,leo nakukumbusha shida huja na kupita,yaliyopita si ndwele tugange yajayo kakaa mimi nakusamehe lakini sitokusahau,lalalala lalalala laaaa,lalalala lalalala mimi nimekusamehee,lalalala lalalala laaaa,lalalala lalalala mimi nimekusamehee
(Eddy Sheggy)Nimekusamehe lakini sitokusahau
Nimekusamehe lakini sitokusahau visa ulivyonitendea Kalala ee eeh,visa ulivyonitendea Kalala ee eeh
Ulinikana ee wakati mi na shida,ukasahau yote tuliyofanya nawe,wakati unaelewa hakuna Komando wa shida,wakati unaelewa hakuna Bingwa wa shida,leo nakukumbusha shida huja na kupita,yaliyopita si ndwele tugange yajayo kakaa mini nakusamehe lakini sitokusahau,lalalala lalalala laaaa,lalalala lalalala mimi nimekusamehee,lalalala lalalala laaaa,lalalala lalalala mimi nimekusamehee
Rafiki wa kweli ni yule asiyekutupa ee kwenye dhiki na faraja mko wote mko wote,kwenye dhiki na faraja oooh oooh,uliniacha nateseka peke yangu peke yangu,pasipo msaada wowote kaka oo oooh,pasipo msaada wowote kaka oo oooh,lakini mola muweza wa yote(wa yote) kaninusuru na matatizo yamepita o kaka,kweli nimekusamehe lakini sitokusahau,yaliyopita si ndwele tugange yajayo kaka,kweli nimekusamehe lakini sitokusahau,yaliyopita si ndwele tugange yajayo kaka,lalalala lalalala laa,lalalala lalalala mimi nimekusamehe,alalala lalalala laa,lalalala lalalala mimi nimekusamehe