Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enzi za Vijana Jazz walikuwepo akina Jerry Nashon 'Dudumizi'. Beno Anthony Villa na wengine, waliporomosha kibao kimoja kinaitwa 'Theresa'. Nilikipenda sana. Walikuwa wanasema demu alimkataa jamaa siku ya harusi, Nimesahau mashairi yake.
Enzi za Vijana Jazz walikuwepo akina Jerry Nashon 'Dudumizi'. Beno Anthony Villa na wengine, waliporomosha kibao kimoja kinaitwa 'Theresa'. Nilikipenda sana. Walikuwa wanasema demu alimkataa jamaa siku ya harusi, Nimesahau mashairi yake.
Jamani kuna wimbo nimelala naukumbuka nikasema leo nijiniwaulize kama kuna mtu anao maneno yake yote hapa aweke
Ni wa bendi ya RAINBAW kama sikosei Marehemu Eddy sheggy aliimba pia baadhi ya maneno yake...........
...........Umekua kama Helkopta...ndege isiyochagua mahari pa kutua eee...........!!!!
sasa i cant connect the following words tafadhali wakulu puliziiiiiiiiiiiiiiiii..................
Nkwingwa, kuna jamaa mmoja anaitwa Nkoi Wa Bangoi. Sijui alikuwa akipigia bendi gani (nadhani Makassy)...unajua alipo sasa hivi?
Paulina, sijui umeimbwa na nani - Marijani Rajabu? una maneno haya... Paulina mamaa shemeji naleta mashitaka ee sielewi lengo la nduguyo ooh... kiitikio... Paulina mimi ninakwita, nimeshayakubali makosa, njoo mama tulee watoto... mimi naapa sitarudia tena...
Annina
Hii albamu yenye nyimbo ya Theresa ilikuwa na nyimbo tamu kama V.I.P,Shoga na Mama Chichi
Wimbo wa Shoga ulikuwa hivi
Nimeshtushwa na ujumbe ulionitumia kupitia kwa jirani yetu ambaye huwa anatusuka,umesema ukiniona ama zangu ama zako aaaa sababu eti namfuatafuata mumeoo
Nimeshtushwa na ujumbe ulionitumia kupitia kwa jirani yetu ambaye huwa anatusuka,umesema ukiniona ama zangu ama zako aaaa sababu eti namfuatafuata mumeoo
Shoga ee ee ukinirudi utanionea buree,shoga ee ee jeuri hiyo mimi sina eee
Shoga ee ee ukinirudi utanionea buree,shoga ee ee jeuri hiyo mimi sina eee
Shoga utanionea bure(oo mamaa) shoga sina kosa na wewe,ushoga wetu ulianza tangu utoto,tulichezea vifuu na sasa tuna wajukuu ooo sipendi matata...mmmh kuvunja heshima oo sipendi matata...mmmh kugombanisha watu oo sipendi matata,mmh jeuri hiyo sinaa oo sipendi matata....mmh nalia oo oo sipendi matata,cha mtu sikitaki ooh sipendi matata..aaah naogopa,hata michokochoko nakataa ooh sipendi matata,za uninja mimi nakataa ooh sipendi matata,naogopa aa..sikuzoea aa nakataa sipendi matata
Shoga ee ee ukinirudi utanionea buree,shoga ee ee jeuri hiyo mimi sina eee
Shoga ee ee ukinirudi utanionea buree,shoga ee ee jeuri hiyo mimi sina eee
Hii albamu yenye nyimbo ya Theresa ilikuwa na nyimbo tamu kama V.I.P,Shoga na Mama Chichi
Mkuu Balantanda, hiki kilikuwa kifaa halafu kama nakumbuka kuwa wengi wa walioshiriki kukiweka hewani ni marhum kama Fred Benjamin, Athmani Momba,Suleiman Mbwembwe na wengine nimewasahau.
Leta nyimbo tukudadavulie,zali papa?hivi kuna mtu humu jamvini anajua lugha ya kilingala?
kuna nyimbo nyingi za zamani ningependa kufahamu maana zake
Leta nyimbo tukudadavulie, zali papa?hivi kuna mtu humu jamvini anajua lugha ya kilingala?
kuna nyimbo nyingi za zamani ningependa kufahamu maana zake
Leta nyimbo tukudadavulie, zali papa?
Jamani kuna mtu anaufahamu wimbo wa Patric Balisidya unaitwa Kuoana ni jambo la sifa na tena ni jambo la fahari ........naomba lyrics tafadhalini. Shukrani
Dalili zote zinaonesha kuwa wanamuziki wetu walikuwa na matatizo sana katika mapenzi!!! gademu!!
Mkuu Balantanda, hiki kilikuwa kifaa halafu kama nakumbuka kuwa wengi wa walioshiriki kukiweka hewani ni marhum kama Fred Benjamin, Athmani Momba,Suleiman Mbwembwe na wengine nimewasahau.