Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Waungwana mie kuhusu swala la kumi bora naomba mnitoe...
Coz nilikuwa nimeziorodhesha zikafika 7 kisha nikalikumbuka jiwe moja la Bimalee, goma lilikuwa linaitwa Makulata.
Basi ikabidi nivuruge top ten nzima...
''haki ya mama eeh
Nakupenda makulata
Nachotaka njoo unishike mkono twende mbele ya wazee...
Usifanye mchezo na pendo leetu eeh nakuupenda aaa mamaaa.....................
Popote ulipo nakuhitaji uje unihakikishie mapenzi yetu, kama kweli tutaoana, uendelee na tabia zako za ukarimu, tamaa mbalimbali nawe. Pesa mbalimbali nawe.......
Dah jamani mie hizo top ten simo.
Coz nilikuwa nimeziorodhesha zikafika 7 kisha nikalikumbuka jiwe moja la Bimalee, goma lilikuwa linaitwa Makulata.
Basi ikabidi nivuruge top ten nzima...
''haki ya mama eeh
Nakupenda makulata
Nachotaka njoo unishike mkono twende mbele ya wazee...
Usifanye mchezo na pendo leetu eeh nakuupenda aaa mamaaa.....................
Popote ulipo nakuhitaji uje unihakikishie mapenzi yetu, kama kweli tutaoana, uendelee na tabia zako za ukarimu, tamaa mbalimbali nawe. Pesa mbalimbali nawe.......
Dah jamani mie hizo top ten simo.