Tukumee kwa nguvu zote vitendo vya ulawiti kama adhabu kwa binadamu wengine kwa sababu zozote zile.

Tukumee kwa nguvu zote vitendo vya ulawiti kama adhabu kwa binadamu wengine kwa sababu zozote zile.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kumekuwa na tabia ya kushabikia, kuona inastahili au kuchukulia jambo la kawaida tu kile kinachoitwa "kupakwa mafuta" kwa wanaume na wanaotembea na wake za watu wengine. Huu ni upuuzi mkubwa sana hasa kwa jamii inayojinasibu kwa sehemu kubwa kama ya kidini na inayopinga ushoga. Hata kama mtu ametembea na mke wa mtu ni wendawazimu kuona adhabu inayomfaa ni "kumpaka mafuta"/ulawiti. Jambo la kusikitisha kuna raia wengi kwa maoni yao mtandaoni wanaona hili jambo stahiki kwa watu wanaochepuka na wanandoa wa watu wengine!

20240805_181959.jpg
 
Kumekuwa na tabia ya kushabikia, kuona inastahili au kuchukulia jambo la kawaida tu kile kinachoitwa "kupakwa mafuta" kwa wanaume na wanaotembea na wake za watu wengine. Huu ni upuuzi mkubwa sana hasa kwa jamii inayojinasibu kwa sehemu kubwa kama ya kidini na inayopinga ushoga. Hata kama mtu ametembea na mke wa mtu ni wendawazimu kuona adhabu inayomfaa ni "kumpaka mafuta"/ulawiti. Jambo la kusikitisha kuna raia wengi kwa maoni yao mtandaoni wanaona hili jambo stahiki kwa watu wanaochepuka na wanandoa wa watu wengine!

View attachment 3062353
Huyo hapo mmoja
 

Attachments

  • Screenshot_20240805-122451.png
    Screenshot_20240805-122451.png
    222.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20240805-131707.png
    Screenshot_20240805-131707.png
    454.4 KB · Views: 3
Kumekuwa na tabia ya kushabikia, kuona inastahili au kuchukulia jambo la kawaida tu kile kinachoitwa "kupakwa mafuta" kwa wanaume na wanaotembea na wake za watu wengine. Huu ni upuuzi mkubwa sana hasa kwa jamii inayojinasibu kwa sehemu kubwa kama ya kidini na inayopinga ushoga. Hata kama mtu ametembea na mke wa mtu ni wendawazimu kuona adhabu inayomfaa ni "kumpaka mafuta"/ulawiti. Jambo la kusikitisha kuna raia wengi kwa maoni yao mtandaoni wanaona hili jambo stahiki kwa watu wanaochepuka na wanandoa wa watu wengine!

View attachment 3062353
Kwani hawa walilawiti mwanaume alitembea na mke wa mtu? Hawa walilawiti msichana alitembea na mume wa mtu, jambo ambalo hata mimi naliona ni baya. Lakini kulawiti mwanaume anayetembea na mke wa mtu hilo siyo jambo baya. Wewe unapokwenda kutembea na mke wa mtu unategemea nini? Hujui hata kuuawa ni mara moja? Kama mwanaume ana hiyo tabia ya kutembea na wake za watu basi kuna siku atapakwa mafuta au kuuawa.
 
Kwani hawa walilawiti mwanaume alitembea na mke wa mtu? Hawa walilawiti msichana alitembea na mume wa mtu, jambo ambalo hata mimi naliona ni baya. Lakini kulawiti mwanaume anayetembea na mke wa mtu hilo siyo jambo baya. Wewe unapokwenda kutembea na mke wa mtu unategemea nini? Hujui hata kuuawa ni mara moja? Kama mwanaume ana hiyo tabia ya kutembea na wake za watu basi kuna siku atapakwa mafuta au kuuawa.
Kwa nini kumlawiti mwanamke aliyetembea na mume wa mtu ni jambo baya ila kumlawiti mwanaume aliyetembea na mke wa mtu sio jambo baya??
 
Kwani hawa walilawiti mwanaume alitembea na mke wa mtu? Hawa walilawiti msichana alitembea na mume wa mtu, jambo ambalo hata mimi naliona ni baya. Lakini kulawiti mwanaume anayetembea na mke wa mtu hilo siyo jambo baya. Wewe unapokwenda kutembea na mke wa mtu unategemea nini? Hujui hata kuuawa ni mara moja? Kama mwanaume ana hiyo tabia ya kutembea na wake za watu basi kuna siku atapakwa mafuta au kuuawa.
kulawiti ni kufanyaje mkuu

nikajua kubaka ni kulazimisha ngono ya kawaida na kulawiti ni kulazimisha ngono kinyume na maumbile

huyo binti aliingiliwa kinyume na maumbile?
 
Kwa nini kumlawiti mwanamke aliyetembea na mume wa mtu ni jambo baya ila kumlawiti mwanaume aliyetembea na mke wa mtu sio jambo baya??
Kwa sababu mwanaume anatongoza. Wewe unaona kabosa huyu ni mke wa mtu halafu unaleta ujinga wako, ni lazima ushughulikiwe.
 
Kwa sababu mwanaume anatongoza. Wewe unaona kabosa huyu ni mke wa mtu halafu unaleta ujinga wako, ni lazima ushughulikiwe.
Una uhakika gani kama nilijua mke wako ni mke wa mtu?? Pia si anaweza kuwa mke wako lakini umeshamtoka moyoni au haumridhishi kabisa tena kimapenzi.
 
Siwezi hata kidogo. Nitafanyaje huo uchafu wakati ukiwapa mateja fedha kidogo tu wanafanya? Au masela wa mtaani.
Tunafuga watu wa hovyo sana katika jamii yetu, kama hawa vijana walio tayari kukodiwa kufanya ufiraji/ulawiti.
 
Kuna wanawake wenye pesa ambao ni wake za watu wanatongoza vijana wadogo.
Mkuu, hili lipo tangu enzi za mababu, na hata mimi najua. Ila mada yako ilikuwa ni wewe kulaani mwanamme anayetembea na mke wa mtu kulawitiwa kama adhabu. Mimi nikasema kama ni mke wa mtu, basi jiandae kufanywa chochote siku ikijulikana. Na siyo wote wanachukuwa hatua ya kulawiti. Wengine wanaweza kukuachia mke mazima. Wngine wanaweza kusamehe. Wengine wanaweza kuua. My point ni kuwa ukitembea wa mke wa mtu basi jiandae kwa lolote na huna haki ya kumpangia mwenye mke achukuwe hatua gani kama unavyojaribu kufanya.
 
Back
Top Bottom