Tukumee kwa nguvu zote vitendo vya ulawiti kama adhabu kwa binadamu wengine kwa sababu zozote zile.

Tukumee kwa nguvu zote vitendo vya ulawiti kama adhabu kwa binadamu wengine kwa sababu zozote zile.

My point ni kuwa ukitembea wa mke wa mtu basi jiandae kwa lolote na huna haki ya kumpangia mwenye mke achukuwe hatua gani kama unavyojaribu kufanya.
Mke sio mali ya mume wake mkuu, ndio maana ukiua mtu au ukilawiti kwa sababu ya wivu wa mapenzi ukikamatwa na ikithibitika unakula kifungo cha maisha.
 
Utagongewa sana kwa staili hii,
amini nakuambia in Mzee wa bwax voice.
Hujaelewa ni nini hasa tunachobishania. Ni hivi: Jamaa analaani watu wanaotumia adhabu ya ulawiti kwa wanaume wanaowafuma wakiwa na wake zao. Mimi nikamwambia kuwa ukishaamua kutembea na mke wa mtu, basi jitayarishe kwa chochote. Yaani anataka achague afanywe nini, wakati amevamia himaya ya mtu. Kuhusu kugongewa, hilo halina mtaalam. Tatizo liko pale unapofumaniwa na ndiko kwenye issue.
 
Tunafuga watu wa hovyo sana katika jamii yetu, kama hawa vijana walio tayari kukodiwa kufanya ufiraji/ulawiti.
Hatufugi, ila walikuwepo, wapo na wataendelea kuwepo. Huwezi kuwamaliza kwa sababu wala huwajui/hutawajua. Issue hapa ni kuwa ukifumaniwa na mke wa mtu basi jiandae kwa lolote.
 
Mke sio mali ya mume wake mkuu, ndio maana ukiua mtu au ukilawiti kwa sababu ya wivu wa mapenzi ukikamatwa na ikithibitika unakula kifungo cha maisha.
Na mimi sijasema mke ni mali ya mume. Mke yuko kwenye mkataba na mumewe, unaolindwa na sheria na kanuni maalumu. Hivyo basi, go-on on your own risk.
 
Huyo kwenye picha hapo naona alikuwa na bangi anavuta tena iliyochanganywa na mkojo wa punda. Huyo dada pole yake.
 
Hujaelewa ni nini hasa tunachobishania. Ni hivi: Jamaa analaani watu wanaotumia adhabu ya ulawiti kwa wanaume wanaowafuma wakiwa na wake zao. Mimi nikamwambia kuwa ukishaamua kutembea na mke wa mtu, basi jitayarishe kwa chochote. Yaani anataka achague afanywe nini, wakati amevamia himaya ya mtu. Kuhusu kugongewa, hilo halina mtaalam. Tatizo liko pale unapofumaniwa na ndiko kwenye issue.
Kwa michango Yako imeonyesha wazi kwamba kwako wewe adhabu sahihi kwa mgoni wako ni kumlawiti.

Ukiwa kama mwanaume rijali unayejielewa huwezi kufanya huo ujinga maana utakuwa una deal na matawi ( mgoni) badala ya mzizi ( mke) sasa utalawiti wangapi kwa staili hiyo? Sana sana Kuna hatari ya kumkosa mazima huyo mke na ukaishia lupango.
 
Me Niko tofauti kidogo
Ninakemea ulawiti kwa wale ambao wanaonewa na hawana makosa yoyote. Ila kama mtu anazini na mume wa mtu alaf anaonywa analeta jeuri alawitiwe tu.
Wanaume wameumbwa na tamaa lakini nguvu ya kusema hapana anayo mwanamke. Tuweke mipaka hasa linapokuja swala LA ndoa ya mtu.
Watoto wasio na hatia wanateseka sababu ya mtu flan mahali flan ambaye nguvu ya kukataa alikuwa nayo ila akaamua kukaza....
Wanaume ndo walishaumbwa kwa namna ya kutochagua mashimo ya kuingiza mikia Yao ni Sisi wanawake tujifunze kukataa na kuweka mipaka pale penye ndoa za watu.
Iliwah tokea kwa binam yangu kunizunguka kwa mtu ambaye bahat nzuri ndo nlikuwa nina plan kujiweka.... Bahat nzuri nkagundua mapema nkamchana binamu nikapita hivi maana wanaume nlijua ndo tabia zao so kosa lilikuwa kwa huyu nung'ayembe wetu.

Nishangaeni tu Ila ndo msimamo wangu
 
Kwa michango Yako imeonyesha wazi kwamba kwako wewe adhabu sahihi kwa mgoni wako ni kumlawiti.

Ukiwa kama mwanaume rijali unayejielewa huwezi kufanya huo ujinga maana utakuwa una deal na matawi ( mgoni) badala ya mzizi ( mke) sasa utalawiti wangapi kwa staili hiyo? Sana sana Kuna hatari ya kumkosa mazima huyo mke na ukaishia lupango.
Mazee sikiliza. Mimi adhabu ya mke anayechepuka ni moja tu. Bye bye, nenda ukaishi salama. No compromise no discussion! Hii ni kanuni ambayo nilishajiwekea. Halafu: mimi nina experience ya maisha. Katika migogoro mingi ya mke kuchepuka niliyoshohudia, mara nyingi unakuta mwanaume mhusika ni mtu anayemfahamu mume wa mwanamke, na pengine yuko karibu naye eg mtaani au kazini. Kwa kifupi anakuona kama mjinga na yeye ni mjanja. Hapo ndipo suala la adhabu kwa mgoni linapoingia sasa. Kwa kifupi mke atafurumishwa na wewe utapata stahiki yako kwa wakati nitakaopanga mimi. Hata ikichukuwa miaka mitano, nitakunyemelea polepole nikupe stahiki yako. Mind you siyo laima iwe ni kutifua mtaro.
 
Kumekuwa na tabia ya kushabikia, kuona inastahili au kuchukulia jambo la kawaida tu kile kinachoitwa "kupakwa mafuta" kwa wanaume na wanaotembea na wake za watu wengine. Huu ni upuuzi mkubwa sana hasa kwa jamii inayojinasibu kwa sehemu kubwa kama ya kidini na inayopinga ushoga. Hata kama mtu ametembea na mke wa mtu ni wendawazimu kuona adhabu inayomfaa ni "kumpaka mafuta"/ulawiti. Jambo la kusikitisha kuna raia wengi kwa maoni yao mtandaoni wanaona hili jambo stahiki kwa watu wanaochepuka na wanandoa wa watu wengine!

View attachment 3062353
Ukiona hivi basi ujue sheria ni tepetepe, vijitu kama hicho kiafande na rafiki zake wakipotezwa wengine watajifunza
 
Mazee sikiliza. Mimi adhabu ya mke anayechepuka ni moja tu. Bye bye, nenda ukaishi salama. No compromise no discussion! Hii ni kanuni ambayo nilishajiwekea. Halafu: mimi nina experience ya maisha. Katika migogoro mingi ya mke kuchepuka niliyoshohudia, mara nyingi unakuta mwanaume mhusika ni mtu anayemfahamu mume wa mwanamke, na pengine yuko karibu naye eg mtaani au kazini. Kwa kifupi anakuona kama mjinga na yeye ni mjanja. Hapo ndipo suala la adhabu kwa mgoni linapoingia sasa. Kwa kifupi mke atafurumishwa na wewe utapata stahiki yako kwa wakati nitakaopanga mimi. Hata ikichukuwa miaka mitano, nitakunyemelea polepole nikupe stahiki yako. Mind you siyo laima iwe ni kutifua mtaro.
Tuko pamoja mkuu.
 
Me Niko tofauti kidogo
Ninakemea ulawiti kwa wale ambao wanaonewa na hawana makosa yoyote. Ila kama mtu anazini na mume wa mtu alaf anaonywa analeta jeuri alawitiwe tu.
Na huyo mume wa mtu unamfanyia nini?
 
Kwa nini kumlawiti mwanamke aliyetembea na mume wa mtu ni jambo baya ila kumlawiti mwanaume aliyetembea na mke wa mtu sio jambo baya??
Zote ni tabia za kishoga. Zote ni dhambi.
 
Kwa sababu mwanaume anatongoza. Wewe unaona kabosa huyu ni mke wa mtu halafu unaleta ujinga wako, ni lazima ushughulikiwe.

Tumekubaliana tufuate Sheria mkuu, akamatwee apelekwe mahakamani kama ambavyo tunasisitiza utawala wa Sheria.
 
Unawezaje kumlawiti mwanaume mwenzako kama wewe sio shoga?
Ki uhalisia anaemuingia mtu kinyume na maumbile anaitwa TOP GAY, anaeingiliwa anaitwa BOTTOM GAY na anaeingiliwa na kuingilia anaitwa VERSE GAY, so hapo waelewe hata wale wanaopenda wajijue wako kwenye nafasi gani
 
Back
Top Bottom