Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma

Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.

Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.

Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
Na mke anaweza kukukimbia pia
 
Mimi pia niliwahi kuapa sitaoa ila nikaona mkasa mmoja. Soma

Kuna jamaa mmoja alikua mfanyakazi wa wa shirika fulani la umeme nchini. Ni fundi, alikua mtu wa makamo umri 40+ lakini alikua hajaoa alikua ni mtu wa totoz kula bata kwa sana. Siku hiyo katika harakati za kufanyia transformer maintenance akamwangikiwa mafuta ya transformer ya moto akaungua kuanzia shingoni mgongo wote akalazwa Regency.

Hakuwa na wakumhudumia zaidi ya dada yake ambaye alimpa huduma zote mpaka kumuogesha achilia mbali kumtawaza kila akikata gogo. Dada anachezea pumbu za kaka daily kwa miezi zaidi ya mitatu.

Sasa kama umeelewa somo hilo usioe ukifikwa na majanga ndio utajuta.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanaume kuoa ni lazima

Mwanamke kuolewa hua ni majaliwa

Mwanaume kunaumri ukifika automatically unaanza kuitaji kuoa iwe kwenye shida au furaha

Watu wasioa au kuolewa hua na STRESS nyingi

Kwanza kuoa kunaleta heshima,kunakushape automatically unakua mtu mzima,mwanaume alieoa hawezi kuvaa mlegezo,kunyoa viduku,

Ni bola uoe muachane ndo uendelee kua bachela ila sio kukimbia kuoa huo ni uoga na kutojiamini

Japo bado nipo nipo ila b4 uchaguz ujao liwe jua iwe nvua lazima nianze kua na family

blessed
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
 
siku yule mzee akiifuta ile mahari yake ya ng'ombe 30 nitaoa binti yake nitatoaje mifugo yote hiyo wakati sina hata kuku....nanukuu "MAHARI INALETA UKANDAMIZAJI TUPAMBANE KUIPINGA"
 
Back
Top Bottom