Tukutane hapa ambao hatuna mpango wa kuoa kwa Me au kuolewa kwa Ke

Na mke anaweza kukukimbia pia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanaume kuoa ni lazima

Mwanamke kuolewa hua ni majaliwa

Mwanaume kunaumri ukifika automatically unaanza kuitaji kuoa iwe kwenye shida au furaha

Watu wasioa au kuolewa hua na STRESS nyingi

Kwanza kuoa kunaleta heshima,kunakushape automatically unakua mtu mzima,mwanaume alieoa hawezi kuvaa mlegezo,kunyoa viduku,

Ni bola uoe muachane ndo uendelee kua bachela ila sio kukimbia kuoa huo ni uoga na kutojiamini

Japo bado nipo nipo ila b4 uchaguz ujao liwe jua iwe nvua lazima nianze kua na family

blessed
 
Huku kwetu Kwamtogole kuna bibi mmoja aliitwa Bi Lilian, hakuwahi kuolewa wala kujaliwa mtoto. Aliishi kwenye chumba cha kupanga. Baadae sana watoto wa kaka zake walimnunulia nyumba mitaa hii hii.

Akiugua mwenyekiti wa mtaa anaitisha kikao na watu hupeana zamu ya kwenda kumuona, kumpeleka chakula na kumbadilishia nguo.

Alivyokua na mdomo mrefu akitoka hospitali alikuwa anasema “kumbe mama Ashura anapikia kuni? Chai yake ilinishinda inanuka moshi”.
Bi Lilian alikufa kipweke sana.
 
siku yule mzee akiifuta ile mahari yake ya ng'ombe 30 nitaoa binti yake nitatoaje mifugo yote hiyo wakati sina hata kuku....nanukuu "MAHARI INALETA UKANDAMIZAJI TUPAMBANE KUIPINGA"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…